yamenikuta leo, nimejua sijui

yamenikuta leo, nimejua sijui

kacnia

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
4,025
Reaction score
15,810
bila shaka wakuu mnaendelea na kazi kama mama anavyosema

huyu mchumba nilimtongoza mwezi wa kwanza akawa amenikataa kwa herufi kubwa, basi kulingana uzuri wake na hadhi yangu nikahisi madaraja yetu yameshiriki katika kunitengenezea kibuti. nikaona isiwe kesi nikafuta namba maisha yakaendelea, siku za hivi karibuni nilikutana nae katika pilika pilika zangu mjini, akawa ameniambia mbona siku hizi simtafuti, nikamdanganya kuwa niliibiwa simu na kupoteza namba yake hivyo akawa amenipa tena namba yake, kumkumbushia akatia ngumu kidogo lakini safari hii aliniambia mengi na kunijuza kuwa amekuwa akiwaza ni jinsi gani atanipata kwani alivyonijibu vibaya alibaki na sononi moyoni na hakuwa na jinsi ya kunipata aniombe msamaha kwani hakuwahi kuisave namba yangu,

basi mzee baba nikajitutumua nikamualika kwangu (geto) hakuwa na tatizo akaniahidi atakuja, sasa balaa likawa alipofika nikaanza kutia mbwembwe za mahaba kumchekesha na vitu kama hivyo, ilipofika hatua ya kupiganga mito, mjuba nina mto mmoja wa kulalia ila tukawa tunapeana shift, akinipiga na mimi nampiga kwa mahaba mambo yakawa mswano.

shetani akajitokeza katika kupigana mto, nilimpiga moja heavy akaenda chini, binti aliinuka akiwa amekaskrika akajiweka sawa na kuondoka huku jumbe zilizoniacha na fedheha moyoni mwangu zikifuata.

haya mambo ya kishua sisi wavunja kokoto hayatufai kabisa.
 
bila shaka wakuu mnaendelea na kazi kama mama anavyosema

huyu mchumba nilimtongoza mwezi wa kwanza akawa amenikataa kwa herufi kubwa, basi kulingana uzuri wake na hadhi yangu nikahisi madaraja yetu yameshiriki katika kunitengenezea kibuti. nikaona isiwe kesi nikafuta namba maisha yakaendelea, siku za hivi karibuni nilikutana nae katika pilika pilika zangu mjini, akawa ameniambia mbona siku hizi simtafuti, nikamdanganya kuwa niliibiwa simu na kupoteza namba yake hivyo akawa amenipa tena namba yake, kumkumbushia akatia ngumu kidogo lakini safari hii aliniambia mengi na kunijuza kuwa amekuwa akiwaza ni jinsi gani atanipata kwani alivyonijibu vibaya alibaki na sononi moyoni na hakuwa na jinsi ya kunipata aniombe msamaha kwani hakuwahi kuisave namba yangu,

basi mzee baba nikajitutumua nikamualika kwangu (geto) hakuwa na tatizo akaniahidi atakuja, sasa balaa likawa alipofika nikaanza kutia mbwembwe za mahaba kumchekesha na vitu kama hivyo, ilipofika hatua ya kupiganga mito, mjuba nina mto mmoja wa kulalia ila tukawa tunapeana shift, akinipiga na mimi nampiga kwa mahaba mambo yakawa mswano.

shetani akajitokeza katika kupigana mto, nilimpiga moja heavy akaenda chini, binti aliinuka akiwa amekaskrika akajiweka sawa na kuondoka huku jumbe zilizoniacha na fedheha moyoni mwangu zikifuata.

haya mambo ya kishua sisi wavunja kokoto hayatufai kabisa.
shule zfunguliwe tu, yan upo na dem geto mnarushiana mito[emoji23][emoji23]
 
Senge Sanaa , unaacha kupiga na mboro unakazania mto usoni pah, 😚kadondoka si jasho la folonya..
 
bila shaka wakuu mnaendelea na kazi kama mama anavyosema

huyu mchumba nilimtongoza mwezi wa kwanza akawa amenikataa kwa herufi kubwa, basi kulingana uzuri wake na hadhi yangu nikahisi madaraja yetu yameshiriki katika kunitengenezea kibuti. nikaona isiwe kesi nikafuta namba maisha yakaendelea, siku za hivi karibuni nilikutana nae katika pilika pilika zangu mjini, akawa ameniambia mbona siku hizi simtafuti, nikamdanganya kuwa niliibiwa simu na kupoteza namba yake hivyo akawa amenipa tena namba yake, kumkumbushia akatia ngumu kidogo lakini safari hii aliniambia mengi na kunijuza kuwa amekuwa akiwaza ni jinsi gani atanipata kwani alivyonijibu vibaya alibaki na sononi moyoni na hakuwa na jinsi ya kunipata aniombe msamaha kwani hakuwahi kuisave namba yangu,

basi mzee baba nikajitutumua nikamualika kwangu (geto) hakuwa na tatizo akaniahidi atakuja, sasa balaa likawa alipofika nikaanza kutia mbwembwe za mahaba kumchekesha na vitu kama hivyo, ilipofika hatua ya kupiganga mito, mjuba nina mto mmoja wa kulalia ila tukawa tunapeana shift, akinipiga na mimi nampiga kwa mahaba mambo yakawa mswano.

shetani akajitokeza katika kupigana mto, nilimpiga moja heavy akaenda chini, binti aliinuka akiwa amekaskrika akajiweka sawa na kuondoka huku jumbe zilizoniacha na fedheha moyoni mwangu zikifuata.

haya mambo ya kishua sisi wavunja kokoto hayatufai kabisa.
Mkuu kitu ambacho hujui ni kwamba hayo mambo ya kuchapana na mito yanakuja baada ya kuchapana mashine utakuja kukosa vyote shaur yako. We leta uhindi bongo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
bila shaka wakuu mnaendelea na kazi kama mama anavyosema

huyu mchumba nilimtongoza mwezi wa kwanza akawa amenikataa kwa herufi kubwa, basi kulingana uzuri wake na hadhi yangu nikahisi madaraja yetu yameshiriki katika kunitengenezea kibuti. nikaona isiwe kesi nikafuta namba maisha yakaendelea, siku za hivi karibuni nilikutana nae katika pilika pilika zangu mjini, akawa ameniambia mbona siku hizi simtafuti, nikamdanganya kuwa niliibiwa simu na kupoteza namba yake hivyo akawa amenipa tena namba yake, kumkumbushia akatia ngumu kidogo lakini safari hii aliniambia mengi na kunijuza kuwa amekuwa akiwaza ni jinsi gani atanipata kwani alivyonijibu vibaya alibaki na sononi moyoni na hakuwa na jinsi ya kunipata aniombe msamaha kwani hakuwahi kuisave namba yangu,

basi mzee baba nikajitutumua nikamualika kwangu (geto) hakuwa na tatizo akaniahidi atakuja, sasa balaa likawa alipofika nikaanza kutia mbwembwe za mahaba kumchekesha na vitu kama hivyo, ilipofika hatua ya kupiganga mito, mjuba nina mto mmoja wa kulalia ila tukawa tunapeana shift, akinipiga na mimi nampiga kwa mahaba mambo yakawa mswano.

shetani akajitokeza katika kupigana mto, nilimpiga moja heavy akaenda chini, binti aliinuka akiwa amekaskrika akajiweka sawa na kuondoka huku jumbe zilizoniacha na fedheha moyoni mwangu zikifuata.

haya mambo ya kishua sisi wavunja kokoto hayatufai kabisa.
Umefanya nimecheka sana kwa sauti. Umehitimisha vizuri tuache kuiga kila kitu. Yaani ukapiga kwa mto mpaka mtu chini..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom