Hapana atumie mbinu za kijemedali mpaka amvue chupiKama anampenda Yesu Kristo kweli, basi hatakubali umuoe kamwe.
Maana Wakatoliki huonekana kama waabuduo sanamu.
Nakushauri, akikataa achana naye tu utafute mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana hanitaki sio ?Huyo hakutaki tu. Mkatoliki na mlokole wote ni wafuasi wa Yesu. Utofauti ni namna tu ya kuabudu na kujitoa mbele za mungu Ila sioni mantiki eti ubadili dini, mmekuwa Mkristo na Muislamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaseme hataki wa kubadili dini Leo anamtaka wa mojakwa moja yani alishakuwa kwenye dini yao kitamboproxy,
Mwambie na wewe kuaniza leo umeokoka na utajiunga na kanisa lake, ukishamaliza mission yako endelea imani yako.
Akiendelea kukaza muage kwa amani.
Sjui ni kwa nini hua naonaga mwanaume akibadili dini kumfata mwanamke namuona huyo mwanaume dhaifu sana
😀😀 mama yenu konki sana nimemkubali.Nakumbuka kaka yangu kipindi anataka kumuoa mkewe ambae saiz ndo yuko nae... Demu alikuwa muislam, kaka kkkt.. Sasa demu akawa anakaza hataki kubadili dini.. Eti kaka amfuate.. Mama akamwambia yule demu kama unataka mwanangu akufuate dini mtolee mahari ili ummiliki... Kama huwezi lala mbele au ubadili dini... Demu aligoma.. Ila mama nakumbuka alimpa mbinu bro kuwa ampige mimba kisha alazimishe demu amfuate.. Na akawin
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaseme hataki wa kubadili dini Leo anamtaka wa mojakwa moja yani alishakuwa kwenye dini yao kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ipo wapi ndugu ,na majuto yatakuaje? Naomba experience pleaseWalokole na Katoliki tofauti kbsaaaa, wala usiendelee kupoteza muda wako maana utakuja kujuta sn huko mbeleni