payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Wandugu yamebaki masaa Kabla ya Kuifikia siku ya uchaguzi, ni saa sita na dakika moja usiku wa leo kama Mwenyezi Mungu akipenda tutakuwa tumeifikia hiyo siku!
Bado ninashaulu ya kujua kama ni kweli Huyo mgombea mwenye nguvu zaidi za kumpinga kikwete katika kinyang'anyiro cha Urais yuko mbioni Kufa au la.
Na je, lisipotokea alilotabiri huyu mzee itakuwaje katika biashara zake ambazo kimsingi zinategemea TRUST ya watu?
Bado ninashaulu ya kujua kama ni kweli Huyo mgombea mwenye nguvu zaidi za kumpinga kikwete katika kinyang'anyiro cha Urais yuko mbioni Kufa au la.
Na je, lisipotokea alilotabiri huyu mzee itakuwaje katika biashara zake ambazo kimsingi zinategemea TRUST ya watu?