Jana na leo nilibahatika kutembelea Jiji la Mbeya. Gumzo kubwa karibu kila kona ya Jiji hili la Mbeya ni viongozi waandamizi wa chama na serikali kuzomewa walipokuwa hapa Mbeya. Habari hizo zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari pia. Fuatilia habari katika picha juu ya tukio hilo kwa kutembelea; http://mjengwa.blogspot.com