Yaliyotokea kwa DC na DED wa Malinyi yatufumbue macho sasa

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Taarifa za kutengua uteuzi wa DC na DED wa Malinyi zinapaswa kuwa starting point ya kuanza kujadili na kushughulikia migongano ya kiutawala inayoendelea katika sekta ya utumishi wa umma hasa kwenye position hizo mbili.

Wote wakiwa ni wateule wa Rais lakini job description zao kama zinashindwa kuweka mipaka ya utendaji wao na kama upo basi unatenganishwa na mstari mwembamba sana ambao mara nyingine mtu anashindwa kuelewa uko wapi.

Hayo ya Malinyi sio mapya kwa DC na DED wake kutunishiana misuli, kwani nakumbuka waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kufanya ziara moja mkoa wa Kagera wilaya ya Bihalamuro akakutana na scandal kama hiyo hiyo sema tu, tofauti ya Malinyi na Bihalamuro ni kwamba Malinyi ni wanaume tu wakati Bihalamuro walikuwa akina mama watupu.

Kuna mbishano kati ya nafasi hizo mbili huko mawilayani kwani DC anaona kama ndio kiongozi mkubwa na kauli yake inatakiwa kuwa ya mwisho, huku DED nae akiona ana nguvu sana kwani miradi yote ya halmashauri yeye ni last approval na anamiliki watumishi wa idara zote pale wilayani na mara nyingine DC anaweza omba mafuta ya kuendeshea gari lake kutoka kwa DED na kusema kweli DED anamiliki raslimali watu na fedha .

Ni kutokana na mstari huo mwembamba sana wa majukumu yao, utawakuta wakizozana kwa mambo ambayo wangekaa na kuyamaliza kwenye vikao vyao.

Hapo cheo Cha DC kinabakia kuwa tu cha ukuu wa kamati ya Ulinzi na Isalama huku mambo mengine ya miradi yakitekelezwa na Mkurugenzi kwa kushirikiana na watalaam wake huku DC akiangalia kwa macho tu.

Japo sheria inampa mamlaka DC kuingilia kati kwa jambo lolote ndani ya wilaya yake lakini bado kuna loopholes nyingi sana za yeye kufanya mambo mengi ndani ya halmashauri.

Ni wakati sasa wa kuvunja cheo kimoja kati ya hivyo viwili ili halmashauri na wilaya zipate ku settle.
 
DC anasimamia Sera za Chama Serikali.
DED anasimamia utendaji wa raslimali Watu, Miundombinu na Fedha.

Kicheo DC Ni mkubwa kupita DED.
 
Mbona huyo wa hapo Hai, anae bishana na RC kwa kila jambo yeye bado yupo?
RC si ametokea ACT Wazalendo kwa hiyo wanamwona kama sio mwenzao ndio maana wanamchezea sharubu. DC yeyote wa Dar amchezee Makonda tuone
 
Zamani nadhani DC alikuwa anateuliwa na Rais wakati DED anateuliwa na ofisi ya Waziri Mkuu. These days kwa sababu wote wanateuliwa na Rais huku majina yao yakiwa yamepenyezwa kiunduguundugu, kila mtu anajiona ana equal rights, powers and favours kutoka kwa Rais.
 
Mbona huyo wa hapo Hai, anae bishana na RC kwa kila jambo yeye bado yupo?
Same pia kulikuwa na mambo hayo hayo.

Nasikia DC wa Moshi Mjini anamuona RC ni wakuja kwenye chama so anataka yeye awe na sauti kuliko RC
 
Tatizo lililopo hapa ni ukosefu wa uzoefu wa kazi za serikali wilayani au mikoani. Wengi wa Hawa watu kama mtakumbuka ni makada wa chama tu ambao hawakuwahi hata watumishi umma baadhi yao, hivyo hawajui kwamba mkuu wa wilaya na DED wanaunganishwa kwa busara za majina yao Basi na sio pengine popote na kwamba ubabe hauna nafasi ila hekima, busara na maarifa. Ded anayekubali kuwa yuko chini kidogo ya mkuu wa wilaya ndio anayeweza kudumu kwenye cheo na mkuu wa wilaya anayetambua kuwa hayuko juu ya Ded katika maamuzi ya miradi isipokuwa pale panapotokea tatizo huyo atadumu Sana ktk cheo chake. Bahati mbaya Elimu hii haifundishwi huko Uvccm Wala Bavicha hivyo wengi hawajui mahusiano yao. Kitu kingine kibaya zaidi anayewateua anawahakikishia kwamba kila mmoja na mtu maalumu kwake kuliko mwingine na sio Kama mwingine hivyo anajikuta kupokea simu za kila mmoja akilalamika juu ya mwenzake. Tena wengine wanadiriki kuvunja sheria za nchi makusudi kwa kujiona wako juu Kama aliyewateua alivyo juu ya sheria kwa kufanya kila liwezekanalo machoni pake. Kwangu Mimi ilikuwa ni kuwapa semina elekezi. Kuondoa makada kwenye nafasi za kitaalamu Kama ukurugenzi na ukuu wa wilaya. Amitabhaaaaa
 
Taarifa za kutengua uteuzi wa DC na DED wa Malinyi zinapaswa kuwa starting point ya kuanza kujadili na kushughulikia migongano ya kiutawala inayoendelea katika sekta ya utumishi wa umma hasa kwenye position hizo mbili.

Wote wakiwa ni wateule wa Rais lakini job description zao kama zinashindwa kuweka mipaka ya utendaji wao na kama upo basi unatenganishwa na mstari mwembamba sana ambao mara nyingine mtu anashindwa kuelewa uko wapi.

Hayo ya Malinyi sio mapya kwa DC na DED wake kutunishiana misuli, kwani nakumbuka waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kufanya ziara moja mkoa wa Kagera wilaya ya Bihalamuro akakutana na scandal kama hiyo hiyo sema tu, tofauti ya Malinyi na Bihalamuro ni kwamba Malinyi ni wanaume tu wakati Bihalamuro walikuwa akina mama watupu.

Kuna mbishano kati ya nafasi hizo mbili huko mawilayani kwani DC anaona kama ndio kiongozi mkubwa na kauli yake inatakiwa kuwa ya mwisho, huku DED nae akiona ana nguvu sana kwani miradi yote ya halmashauri yeye ni last approval na anamiliki watumishi wa idara zote pale wilayani na mara nyingine DC anaweza omba mafuta ya kuendeshea gari lake kutoka kwa DED na kusema kweli DED anamiliki raslimali watu na fedha .

Ni kutokana na mstari huo mwembamba sana wa majukumu yao, utawakuta wakizozana kwa mambo ambayo wangekaa na kuyamaliza kwenye vikao vyao.

Hapo cheo Cha DC kinabakia kuwa tu cha ukuu wa kamati ya Ulinzi na Isalama huku mambo mengine ya miradi yakitekelezwa na Mkurugenzi kwa kushirikiana na watalaam wake huku DC akiangalia kwa macho tu.

Japo sheria inampa mamlaka DC kuingilia kati kwa jambo lolote ndani ya wilaya yake lakini bado kuna loopholes nyingi sana za yeye kufanya mambo mengi ndani ya halmashauri.

Ni wakati sasa wa kuvunja cheo kimoja kati ya hivyo viwili ili halmashauri na wilaya zipate ku settle.

Bado mwaka mmoja tu tufanye uchaguzi huyu jamaa kashindwa kuleta order kwenye serikali yake mwenyewe!

Alilea huu upumbavu yeye mwenyewe!

Still,tupo humo na bado miezi kadhaa uchaguzi ufanyike!
 
Nadhani Mungu angekuwa na maamuzi kama ya Rais wangu dunia ingekuwa haina mtu hata mmoja, basi kiama kingetokea mwaka 56BCE
Angalia tu usije mtukana Mungu..unamlinganishaje Mungu na binadamu! hupaswi hata ufikiri ujinga huo..
 
Katika mapendekezo ya mabadiriko ya katiba ya Warioba na Marehemu Dr Mvungi wananchi wengi walipendekeza cheo cha DC kifutwe kibaki cheo cha DED .Inashangaza mpaka sasa wapo watu wachache hawapendi mapendekezo hayo wana hofu ya kuwaondelea mamulaka na vyeo vyao
 
Majuzi mzee baba alivyokutana na watendaji wa kata aliwaanbia kama kwny kata yako anaishi DC,DED jua wewe Mtendaji ndio boss wao maana wapo kwny kata yako.

Nikasema tu hiiiiiiii huyo mtendaji atakaye enda kumvimbia mkurugenzi ajiandae kisaikolojia tu.
Tatizo lililopo hapa ni ukosefu wa uzoefu wa kazi za serikali wilayani au mikoani. Wengi wa Hawa watu kama mtakumbuka ni makada wa chama tu ambao hawakuwahi hata watumishi umma baadhi yao, hivyo hawajui kwamba mkuu wa wilaya na DED wanaunganishwa kwa busara za majina yao Basi na sio pengine popote na kwamba ubabe hauna nafasi ila hekima, busara na maarifa. Ded anayekubali kuwa yuko chini kidogo ya mkuu wa wilaya ndio anayeweza kudumu kwenye cheo na mkuu wa wilaya anayetambua kuwa hayuko juu ya Ded katika maamuzi ya miradi isipokuwa pale panapotokea tatizo huyo atadumu Sana ktk cheo chake. Bahati mbaya Elimu hii haifundishwi huko Uvccm Wala Bavicha hivyo wengi hawajui mahusiano yao. Kitu kingine kibaya zaidi anayewateua anawahakikishia kwamba kila mmoja na mtu maalumu kwake kuliko mwingine na sio Kama mwingine hivyo anajikuta kupokea simu za kila mmoja akilalamika juu ya mwenzake. Tena wengine wanadiriki kuvunja sheria za nchi makusudi kwa kujiona wako juu Kama aliyewateua alivyo juu ya sheria kwa kufanya kila liwezekanalo machoni pake. Kwangu Mimi ilikuwa ni kuwapa semina elekezi. Kuondoa makada kwenye nafasi za kitaalamu Kama ukurugenzi na ukuu wa wilaya. Amitabhaaaaa
 
Zamani nadhani DC alikuwa anateuliwa na Rais wakati DED anateuliwa na ofisi ya Waziri Mkuu. These days kwa sababu wote wanateuliwa na Rais huku majina yao yakiwa yamepenyezwa kiunduguundugu, kila mtu anajiona ana equal rights, powers and favours kutoka kwa Rais.
Kwani hapo kabla walikuwa hawagombani? Unajua kwanini Kanali Madaha akiwa DC Nyamagana "alitenguliwa" u-DC 2008?
 
Taarifa za kutengua uteuzi wa DC na DED wa Malinyi zinapaswa kuwa starting point ya kuanza kujadili na kushughulikia migongano ya kiutawala inayoendelea katika sekta ya utumishi wa umma hasa kwenye position hizo mbili.

Wote wakiwa ni wateule wa Rais lakini job description zao kama zinashindwa kuweka mipaka ya utendaji wao na kama upo basi unatenganishwa na mstari mwembamba sana ambao mara nyingine mtu anashindwa kuelewa uko wapi.

Hayo ya Malinyi sio mapya kwa DC na DED wake kutunishiana misuli, kwani nakumbuka waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kufanya ziara moja mkoa wa Kagera wilaya ya Bihalamuro akakutana na scandal kama hiyo hiyo sema tu, tofauti ya Malinyi na Bihalamuro ni kwamba Malinyi ni wanaume tu wakati Bihalamuro walikuwa akina mama watupu.

Kuna mbishano kati ya nafasi hizo mbili huko mawilayani kwani DC anaona kama ndio kiongozi mkubwa na kauli yake inatakiwa kuwa ya mwisho, huku DED nae akiona ana nguvu sana kwani miradi yote ya halmashauri yeye ni last approval na anamiliki watumishi wa idara zote pale wilayani na mara nyingine DC anaweza omba mafuta ya kuendeshea gari lake kutoka kwa DED na kusema kweli DED anamiliki raslimali watu na fedha .

Ni kutokana na mstari huo mwembamba sana wa majukumu yao, utawakuta wakizozana kwa mambo ambayo wangekaa na kuyamaliza kwenye vikao vyao.

Hapo cheo Cha DC kinabakia kuwa tu cha ukuu wa kamati ya Ulinzi na Isalama huku mambo mengine ya miradi yakitekelezwa na Mkurugenzi kwa kushirikiana na watalaam wake huku DC akiangalia kwa macho tu.

Japo sheria inampa mamlaka DC kuingilia kati kwa jambo lolote ndani ya wilaya yake lakini bado kuna loopholes nyingi sana za yeye kufanya mambo mengi ndani ya halmashauri.

Ni wakati sasa wa kuvunja cheo kimoja kati ya hivyo viwili ili halmashauri na wilaya zipate ku settle.
Anayesababisha yote haya ni Rais mwenyewe! Kitendo cha kupenda kuteua kila mtendaji wa serikali na kutengua. Pamoja na mipaka ya kazi zao kuwa wazi lakini DED anajiona ni zaidi ya DC kwa sababu za kusimamia fedha zote za maendeleo.

Enzi za awamu ya tatu TAMISEMI ilikuwa chini ya Rais kama ilivyo sasa lakini Rais wa wakati huo Mkapa alikasimisha mamlaka yake ya kuteua DEDs kwa Waziri wa TAMISEMI ili kusimamia fedha za maendeleo na yeye Rais akabaki na wajibu wa kuteua DCs kama wasimamizi wa dola katika wilaya. Hivyo ma-DED walikuwa wanawaheshimu sana ma-DC na waliweza kufanya kazi kwa pamoja.
 
Ni kweli, lakini inategemea pia malengo ya Kiongozi Mkuu. Kama kiongozi mkuu ana amini kuwa absolute loyalty ya wote ni lazima iwe kwake pekee, matokeo yake ndio haya. Imejengekeka tabia ya kujikomba, kufanya kazi kwa nidhamu ya woga, kuzungukana na kuchongeana, unafiki, nk, mradi mtu aonekane anafaa kulio wengine na kujilinda dhidi ya kutenguliwa.. .
 
Katika mapendekezo ya mabadiriko ya katiba ya Warioba na Marehemu Dr Mvungi wananchi wengi walipendekeza cheo cha DC kifutwe kibaki cheo cha DED .Inashangaza mpaka sasa wapo watu wachache hawapendi mapendekezo hayo wana hofu ya kuwaondelea mamulaka na vyeo vyao
Ni vyeo vya kupeana na kulindana havina maana yoyote kwenye utawala na maslahi kwa wananchi. vyeo vya fadhila wa wana magori ya mikono.
 
Taarifa za kutengua uteuzi wa DC na DED wa Malinyi zinapaswa kuwa starting point ya kuanza kujadili na kushughulikia migongano ya kiutawala inayoendelea katika sekta ya utumishi wa umma hasa kwenye position hizo mbili.

Wote wakiwa ni wateule wa Rais lakini job description zao kama zinashindwa kuweka mipaka ya utendaji wao na kama upo basi unatenganishwa na mstari mwembamba sana ambao mara nyingine mtu anashindwa kuelewa uko wapi.

Hayo ya Malinyi sio mapya kwa DC na DED wake kutunishiana misuli, kwani nakumbuka waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kufanya ziara moja mkoa wa Kagera wilaya ya Bihalamuro akakutana na scandal kama hiyo hiyo sema tu, tofauti ya Malinyi na Bihalamuro ni kwamba Malinyi ni wanaume tu wakati Bihalamuro walikuwa akina mama watupu.

Kuna mbishano kati ya nafasi hizo mbili huko mawilayani kwani DC anaona kama ndio kiongozi mkubwa na kauli yake inatakiwa kuwa ya mwisho, huku DED nae akiona ana nguvu sana kwani miradi yote ya halmashauri yeye ni last approval na anamiliki watumishi wa idara zote pale wilayani na mara nyingine DC anaweza omba mafuta ya kuendeshea gari lake kutoka kwa DED na kusema kweli DED anamiliki raslimali watu na fedha .

Ni kutokana na mstari huo mwembamba sana wa majukumu yao, utawakuta wakizozana kwa mambo ambayo wangekaa na kuyamaliza kwenye vikao vyao.

Hapo cheo Cha DC kinabakia kuwa tu cha ukuu wa kamati ya Ulinzi na Isalama huku mambo mengine ya miradi yakitekelezwa na Mkurugenzi kwa kushirikiana na watalaam wake huku DC akiangalia kwa macho tu.

Japo sheria inampa mamlaka DC kuingilia kati kwa jambo lolote ndani ya wilaya yake lakini bado kuna loopholes nyingi sana za yeye kufanya mambo mengi ndani ya halmashauri.

Ni wakati sasa wa kuvunja cheo kimoja kati ya hivyo viwili ili halmashauri na wilaya zipate ku settle.

Wote DED NA DC Ni makada wa CCM, KWA Tz ya sasa hatuhitaji makada WA vyama vya Siasa wawe Viongozi huko Serikalini
 
Back
Top Bottom