Yaliyotaka kutokea leo uwanja wa Taifa,ndio matokeo ya "siasa" za Vita ya madawa ya kulevya

Mwanzoni RC alikuwa na nia njema ila alipoanza na orodha kuzitangaza hadharani palikuwepo na "handbrake" kidogo kuna tetesi kuwa zile sio orodha kamili (yaani zimefanyiwa editing)

Ingawa orodha zile zimetikisa lakini sio ule mtikisiko mkuu ambao ulianza kuwafanbya baadhi ya watu kwenda hadi kwenye vyombo vya habari kuanza kujieleza ( sio Manji).

Lakini kiujumla mzee Adadi na Siang'a tayari wamesema kuhusu utaalam ulivyo na nafasi yake katika vita hii, tena Adadi akasema kwamba kuna shshsda ya mambo ya uchunguzi wa masuala haya.

Tatizo kubwa watanzania ni wanafiki sana maana wanafahamu kila mhusika wa biashara hii na wengine wanajitokeza hadharani na katika JF kupinga juhudi za serikali.

Pia mkulu alisema wazi (rejea hotuba kwa wafanyabiashara) kwamba ndiyo maana yeye hakutaka fedha zozote za michango.

Lakini labda alisahau jinsi baadhi ya nguli wa biashara hii walikoanzia biashara yenyewe sawa tu na bwana Berlusconi aka mzee wa totoz ziitwazo "bongabonga girls".

Watanzania wana budi kuhakikisha twaunga mkono vita dhidi ya biashara ya mihadarati popote pale tulipo.
Tunaiunga vita ipi? Kuna aliyetangaza vita Tanzania ya sembe? Uwe unatazama mambo with your eyes wide open.
 
Tatzo la wanasiasa wanataka vita yao iwe vita yetu..... Kama mna chuki na Manji kwa kuwa alimuunga mkono Membe basi malizaneni kiutu uzima msituchanganye kwa kumdhalilisha mtu ma heshma yake....
Hivi Member yuko wapi? Kwa nimi hajitokezi kwenye hizi scenario?
 
nimepita mjini katikati nimekuta mgambo wa jiji wanawapokonya ndoo za kuoshea magari walalahoi...........!! hivi hawa wakubwa wanasahau kuwa 2020 mtarudi tena kuomba kura zetu.? NASEMA HIVI MJIANDAE NA WIZI WA KURA , HATUSAHAU HAYA MNAYOTUFANYIA. MANYANYASO NI MENGI LEO HII UNGA TSH 2200/-....? JUZI TU HAPA AWAMU YA NNE INAMALIZIA UONGOZI UNGA TSH 1200/= HATA .... MAHARAGWE YAMEPANDA 2400/= @KG1 HADI 2020....... TUTAKUWA TUNANUNUA UNGA SH NGAPI......? UONGOZI WA VISASI UNATUONGEZEA MACHUNGU KTK MAISHA. WANETU MKOPO WA CHUA WAMEKOSA, KIKWETE ALIWEZAJE..........? NIISHUKURU AWAMU YA NNE KWA KUHARAKISHA UJENZI WA BOMBA LA GAS TOKA MTWARA.
Umeanza vizuri ila sentesi yako ya mwisho ina ukakasi na ni machukizo kwangu
 
Genge moja la wauza mihadharati likitumia dola kuangamiza lingine
Pablo Escobar alikuwa anawalipa mishahara nusu ya viongozi wa serikali na polisi wa Colombia
Wenye akili mtaelewa[/

Na Falsafa yake ilikua ni " Accept bribe or Face Bullet"
 
ni kama alichokuwa anakifanya pablo escoba....pesa kharamu alikuwa anagawana na jamii kubwa ya kimaskini kwa kuwafanyia mahitaji muhimu kwao ambayo serikali inajivuta kufanya....
 
Ngoja mtukufu wa Tanzania aje apite huku.,maana wamejipambanunua kuwa no stone will remain unturned!!!!!!!!!
 
Hili lilikua linajulikana tokea mwanzo,ni vita ya makundi mawili. Kundi moja linataka kutawala soko la unga na kundi lingine linatishwa na serikali.
Unataka kuniambia hii ni serikali iliyochini ya madawa ya kulevya?
Hahahaha!!!
 
Siliviano Berluscon mfalme wa Milan,Mzee wa totoz Sana umenikumbusha kesi yake
Mtu Matata sana huyu,Mzee wa Mitaa ya Milan,alipenyeza pesa zake za kina Mafioso mpaka kwenye "TFF" ya Italia.

Akahakikisha,Rais wa chama cha soka cha Italia anaingiza sheria kuwa mchezaji yoyote ambaye hachezi ligi ya Italia (Serie A) basi asiitwe timu ya Taifa (Azzuri).Hii ilimsaidia kuhakikisha kuwa timu ya Taifa inaundwa na vijana wake toka Milan,iwe ni AC Milan au Inter Milan.

Hapo lengo lake kisiasa likawa limefanikiwa,maana ukipita mitaa ya Milan,si shabiki wa Inter wala AC Milan,wote wanamuona Silvio ndio shujaa...Msakame uone!!Mashabiki hasimu wa AC Milan na Inter Milan wanaungana kumtetea.
 
Mtu Matata sana huyu,Mzee wa Mitaa ya Milan,alipenyeza pesa zake za kina Mafioso mpaka kwenye "TFF" ya Italia.

Akahakikisha,Rais wa chama cha soka cha Italia anaingiza sheria kuwa mchezaji yoyote ambaye hachezi ligi ya Italia (Serie A) basi asiitwe timu ya Taifa (Azzuri).Hii ilimsaidia kuhakikisha kuwa timu ya Taifa inaundwa na vijana wake toka Milan,iwe ni AC Milan au Inter Milan.

Hapo lengo lake kisiasa likawa limefanikiwa,maana ukipita mitaa ya Milan,si shabiki wa Inter wala AC Milan,wote wanamuona Silvio ndio shujaa...Msakame uone!!Mashabiki hasimu wa AC Milan na Inter Milan wanaungana kumtetea.
Hahahahaaaaaaaaaaa na aliweza sana ilo mpaka bintiye kuwa Rais wa Ac Milan Mzee yule bwana ila hapo umeniacha njia panda tukirudi kwetu muda ndo Rafiki mzuri wa kuthibitisha hayo maana si kwa speed na urafiki wa nasaba wa watu hao kwa Rc,malori yao yana double cabin za kufuatilia usalama kuanzia dar mpaka Kigari na wamehodhi njia hii ya Isaka mpaka huwa najiuliza hivi ni kipi asa
 
Hahahahaaaaaaaaaaa na aliweza sana ilo mpaka bintiye kuwa Rais wa Ac Milan Mzee yule bwana ila hapo umeniacha njia panda tukirudi kwetu muda ndo Rafiki mzuri wa kuthibitisha hayo maana si kwa speed na urafiki wa nasaba wa watu hao kwa Rc,malori yao yana double cabin za kufuatilia usalama kuanzia dar mpaka Kigari na wamehodhi njia hii ya Isaka mpaka huwa najiuliza hivi ni kipi asa
Kazi ileile ya HSC.
Clearing & Forwarding na sasa ni door to door delivery
Sembe at work
 
Tunaweza kuwa tumeingizwa mkenge,kujua mbinu za "black market" inahitaji kuwa makini sana!

... Huu ndio ujanja wa hawa watu.

Yanga na Ngaya watu wanataka kuingia na mabango uwanjani,wanataka kufikisha ujumbe kwa serikali kuwa iachane na Rais wao na timu yao,wanaamini kwa Rais wao kuguswa,basi imeguswa furaha yao ktk mpira,unaguswa ubingwa wa Yanga...

Hii ndo dunia,hii ndio Afrika,being a political leader in Africa is a synonimous of being rich.Vita dhidi ya mihadarati ni vita ya kuungwa mkono,iendelezwe na ipigiwe chapuo.Lakini isiwe tu,watu wanatuingiza mkenge kwa ushindani wa ku-dominate soko,iwe katika "black market" au ushindani mwingine wa biashara za wazi.

'barafu', that is what Power and Politics is all about.

Power is the ability to influence or outright control of the behaviour of people.

Politics is the process of making decisions to achieve and exercise positions of governance - organised control over human community, particulary a state.

Political power is an authority held by politicians that allows for administration of public resources and implement policies for society.

Power of the money: money plays a central role in socio-economics today, yet rarely do we come across a serious, informed discussion of what money really is and what role in the development of society.

So "barafu" you just highlighted the power of money in our societies (developed, developing or undeveloped).

The power of money buys politicians and hence political power, influencing negatively socio-economic development.

The fast method to generate massive money, and achieve that power, is nowadays 'drug trafficking', despite its serious negative effects to the development of socities.

Can the war against drug trafficking be won? Yes and No, depends on the "political will" of those who have political power and not the institutional and legal frameworks in place.
 
Back
Top Bottom