Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
- Thread starter
- #21
Sehemu yoyote walopita waarabu sijajua ni kwa nini,nilienda kufacilitate semina Mtwara wahudumu wa hotel hawajali wateja similar kesi Lindi napo ni hivo hivo lakini nilienda Mwanza,Mbeya,Kilimanjaro huduma safi sijui waliwapa dawa gani hawa waarabu.
Na quality za polisi wa Tabora ziko chini sana. Kuna polisi mmoja alijitambulisha yeye ni lawyer....lakini vitu alivyokuwa anazungumza ni contrary kabisa na sheria ya suhahidi aliyokuwa akiizungumzia.