Yaliyojiri: Uhesabuji Kura na Utangazaji Matokeo katika Chaguzi Ndogo kwenye Kata 43 - Novemba 26, 2017

Kabisa hata Mimi napenda twende kwwnye katiba Mpya, sijui chadema nani katuroga tumekuwa kama nyuki wa mashineni bwana
 
Msimsingizie Mungu, chadema hamna mioango ya kisiasa, na mmesahau kuwa Mbowe hana tofauti na Mugabe anzeni nae kwanzaaaa
Mnataka mbowe aondoke mnunue Chama Sio?

Najua hoja za kijinga CCM nikutaka mbowe aachie Chama mnunue kiongozi aliepo. Kwani nani ajui mlimnunua ZITO, mkamnunua SLAA, mmemnunua LIPUMBA mbowe peke yake kawashinda.

Na nikwambie bila mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ingeshakufa kama ilivokufa NCCR, CUF na TLP

Kwasasa tunamhitaji mbowe bila kujali Propaganda za CCM
 
Kila siku pakicha tumeonewa bado mpo;Kesho tumeonewa hii itakuwa mpk lini?Nini njia ya kutokuonewa? Mnachosha wananchi kusikia mnaonewa;Ushauri wangu Daini katiba hachaneni na Bunge na Mengine itafika 2020 mtatwambia mnaonewa.Jiteteeni hakuna njia

Bila sisi wananchi kudai UHURU wa kuchagua viongozi tuwatakao wapinzani peke yao hawawezi.Tuanze kuangalia PLAN B ya kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi sisi kama RAIA wapenda HAKI
 

Wala hutakiwi kuwa crush,kwani hawana njia mbadala zaidi ya kusifu na kuabudu.Leo nimeshuhudia barabarani magazeti ya kidoda hakuna hata anayeitwa kuuza Magazeti,ningeomba wenye magazeti watupe data ya mauzo ya leo
 
Kama ni kweli mliyoandika hapa, basi tunajitukana WaTz kuwa hatujui umuhimu wa kura ya kila mmoja wetu.

Kwa madai yenu ninyi hapa chini, basi wapiga kura wangepiga kura za chuki dhidi ya CCM, na si vinginevyo maana kura ni ya siri. Hakuna anayelazimishwa kumchagua mgombea asiyempenda kwenye sanduku la kupigia kura.

Kwanza ujue kabisa..kwamba watu hawasemi sababu ni Chadema...hapana...Watu tunataka haki na uhuru...ccm hata ikishinda asilimia 120..wala hakuna tatizo hiyo ndo democracy....TATIZO kupata kura wakati kuna misconducts kibao ambazo zimeonekana, hao Chadema ingawa ni upinzaji lkn sio vichaa kwamba waanze kulalamika tu....Hao Chadema ni watanzania pia....

Tunachotaka ni uchaguzi wa huru na haki bila hizi fujo ambazo zinataarifiwa...mpaka Mbowe katangaza kujitoa kwenye uchaguzi....

Vyombo vyetu vinavyohusika vinapaswa kufanyia kazi malalamiko..na kama ikionekana kwamba wakina Mbowe na viongozi wengine wa upinzaji walikuwa wanasema uongo..basi sheria ichukue mkondo wake.....

Sisi hatuna ushabiki...tunataka Tanzania sawa kwa watu wote
 
Nilisema kuwa dawa ya hawa CDM wanaopenda kuvunja sheria (civil disobedience) ili wapate umaarufu ni kupewa mkong'oto wa nguvu (staili ya Kenya) hivyo kwamba watafikiria mara mbili mbili kurudia tena huu uvunjifu wa sheria.

Haya mambo ya kuwanyunyizia maji na moshi, halafu kuwafunga pingu za plastiki na kuwalaza mahabusu (chai asubuhi, ugali wa mwindebe mchana, na wali/nyama jioni) unawaendekeza hawa. Wakipambana na kwata ya nguvu watawaambia viongozi wao kuwa watangulie wao safari nyingine.
Huko nyuma hukua hivyo washakuharibu kabisa.
 
Inakuwaje na teknolojia ya miaka hii hamrushi picha za matukio.. si mnajua ni nyie mnapanga kupigawenzenu ili wakiumia mrushe..

Ruaheni za matukio tuone hao mnaodai wametenda hayo. Nawaonea huruma walioumia kwa kutendwa na nyie nyie ndani ya chama chenu ili msingizie CCM.
Teknolojia ipi ile kama alivyorekodiwa mnyeti?
 
Kwanza ujue kabisa..kwamba watu hawasemi sababu ni Chadema...hapana...Watu tunataka haki na uhuru...ccm hata ikishinda asilimia 120..wala hakuna tatizo hiyo ndo democracy....TATIZO kupata kura wakati kuna misconducts kibao ambazo zimeonekana, hao Chadema ingawa ni upinzaji lkn sio vichaa kwamba waanze kulalamika tu....Hao Chadema ni watanzania pia....
Tunachotaka ni uchaguzi wa huru na haki bila hizi fujo ambazo zinataarifiwa...mpaka Mbowe katangaza kujitoa kwenye uchaguzi....
Vyombo vyetu vinavyohusika vinapaswa kufanyia kazi malalamiko..na kama ikionekana kwamba wakina Mbowe na viongozi wengine wa upinzaji walikuwa wanasema uongo..basi sheria ichukue mkondo wake.....
Sisi hatuna ushabiki...tunataka Tanzania sawa kwa watu wote

Tungekuwa na MAHAKAMA yenye Uhuru hata kwa 50% tu kitendo walichofanya CCM kuagiza vijana wao na polisi kupiga kuteka na kutesa wapinzani kingeamsha Majaji,lakini kama JAJI wa Tume ya Uchaguzi anaona sawa unategemea kijana aliyetuma kupiga raia mwenzake aone kosa??

Baada ya zile vurugu week moja kabla ya uchaguzi,Tume Ya Uchaguzi ilitakiwa kusitisha zoezi kwanza mpaka hali itulie,lakini wka vile Tume ya Uchaguzi ni Tawi la CCM hawawezi kuona,kwao wapinzani si watanzania ni RAIA kutoka Congo
 
Kwanza ujue kabisa..kwamba watu hawasemi sababu ni Chadema...hapana...Watu tunataka haki na uhuru...ccm hata ikishinda asilimia 120..wala hakuna tatizo hiyo ndo democracy....TATIZO kupata kura wakati kuna misconducts kibao ambazo zimeonekana, hao Chadema ingawa ni upinzaji lkn sio vichaa kwamba waanze kulalamika tu....Hao Chadema ni watanzania pia....
Tunachotaka ni uchaguzi wa huru na haki bila hizi fujo ambazo zinataarifiwa...mpaka Mbowe katangaza kujitoa kwenye uchaguzi....
Vyombo vyetu vinavyohusika vinapaswa kufanyia kazi malalamiko..na kama ikionekana kwamba wakina Mbowe na viongozi wengine wa upinzaji walikuwa wanasema uongo..basi sheria ichukue mkondo wake.....
Sisi hatuna ushabiki...tunataka Tanzania sawa kwa watu wote
Maswali mawili tu nijibu:
1) Uchaguzi huru maana yake ni nini?
2) Mazingira ya uchaguzi huru ni yapi?
 
Cha kushangaza, ikibaki miezi minne kabla ya uchaguzi mkuu ujao, ndio utaona kasi ya kudai tume, au katiba nyingine! Baada ya uchaguzi, huwa tunasahau kama Mwanamke anavyo sahau uchungu alioupata wakati anajifungua mtoto aliyepita!
 
Ipo hivii...

Ufipa toeni hayo maboriti machoni penu maana mnaendeshwa na siasa za ukanda na ulutheri na kirusi cha kuwapaka mafuta na rangi nzuri wenye dhambi kubwa ya ufisadi

It begins with you. Kataa kuwa Karai
 
*SALAMU KUELEKEA 2019&2020*

CCM YATEST MITAMBO......


Katika kata 43 zilizorudia uchaguzi leo tarehe 26/11/2017 kwa matokeo ya mwaka 2015

CCM tulikuwa na kata 20
Chadema walikuwa na kata 20
CUF walikuwa na kata 2
ACT walikuwa na kata 1

Baada ya miaka miwili ya Mhe Rais Dkt Magufuli akiisimamia kwa weledi na kasi kubwa ilani ya uchaguzi ya CCM 2015-2020 watanzania wameamua kumtunuku zawadi kwa kuipa CCM ushindi wa kimbunga wa 93% kwa kupata kata 40/43 huku chadema wakipata 2 na CUF 1.

Hiki ni kipigo cha kikatili sana.....

Asante watanzania kwa kuamua kuiunga mkono CCM na kumuunga mkono Mhe Rais Dkt Magufuli kwa kazi nzuri anayotenda. Ushindi huu ni kielelezo kuwa mnafurahishwa na kazi inayofanyika na mna imani kubwa na mageuzi yaliyofanywa na CCM.

#CCM_MPYA_TANZANIA_MPYA
Screenshot_2017-11-27-01-33-49.png
IMG-20171125-WA0000.jpg
Screenshot_2017-11-27-01-33-34.png

kwisha habari yao 2020 ni bila kupingwa.
 
Wamefanya sahihi maana walichofanya leo kinaonyesha mwaka 2020 itakuwa mara elfu zaidi kwa maana hiyo kama wapinzani wakiamua kuingia kichwa kichwa bila tume huru ya uchaguzi amini usiamini wanaenda kufa maelfu kama si mamilioni.

Wengi wameshasema kwa mwendo huu hata kwenye kituo hawatafika
Tume huru haitaki, tumeshajiandaa kufa 2020 lakini hatutakufa peke yetu. Mchuma janga hula na wa kwao.
 
Maswali mawili tu nijibu:
1) Uchaguzi huru maana yake ni nini?
2) Mazingira ya uchaguzi huru ni yapi?
Maswali kama hayo majibu yako nje nje wala haina haja ya kujibu....ni kama notes tu...just pata uhalisia wa kinacholalamikiwa na upinzani..je ni kweli au si kweli...Kama ni kweli bac majibu ya maswali yako yatakua yamepatikana
 
You are right. Kwa mfumo uliopo wa usimamizi wa uchaguzi ni ndoto kwa wapinzani kushinda uchaguzi.
 
Back
Top Bottom