Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,212
- 4,735
Kongo DR ni shamba la bibi sema mimi na ww hatuna pesa chafu tungekuwa nazo saa hii tungekuwa PARIS tunagonga mvinyo huku tukituma transactions makamanda walio msituni wanatuchotea mali. Hatuna hela mkuuSina tatzo na ushindi wake kuna mtu amesema anamiliki hekta za mashamba ya mahindi Kongo najiulza anapata ujasiri wakumilik ardhi Kongo .