Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Good morning our Neighbor's KenyaView attachment 2321510
Hapa ni hifadhi ya maiti ya Lee Funeral Home.., alikua ametoka kutazama maiti ya mtu mashuhuri.., sijui ni ya Moi ama Kibaki.,
1660290519932.png
 
Mbona hayo matokeo hayaonekani

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Ukifingua hiyo link front kabisa kuna forms portal...
Ukiclick link ya forms portal inakuonesha percentage ya vituo vilivyosubmitt matokeo tayari na vingapi vimebaki....

Overall ya percentage ya kila mgombea NTV wanafaya majumuisho vizuri kadiri kiongozi wa tume anavyotangaza.
Kwa hali ilivyomalizika jana kabla saa saba usiku hakuna mgombea wa kupata zaidi ya 50% hata apate zote zinazobaki
 
Kwa maelezo ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya, naona kutakuwa na second round but mseto sidhani kama Ruto atakubali huo ujinga.

Na kwa uhalisia tunaouona mpaka sasa hakuna mshindi wala anayeweza kupata 50.1% ya kura zote.

Na huu mchezo umechezwa makusudi kabisa kwa jinsi ambavyo jamaa atakiwi kupewa nchi.
Nani ambaye hatakiwi kupewa?
 
Hebu tuwekane sawa, mshindi anatakiwa awe na kura 50% plus 1 vote? Au 50% plus 1%?
Hebu tuelewane hapa kwanza, maana shule zetu za kata ni janga la Taifa mtu hadharani anacomment bila wasiwasi halafu Wakenya wanatucheka.
Lugha rahisi ni kwamba mshindi inabidi apate nusu ya kura na nyongeza yoyote hata kama ni kura moja au zaidi.Pia ashinde county 24 kati ya 47.
 
50% + Kura MOJA HALALI.

Mfano
Total votes 1201
Cand 1 amepata 601
Cand 2 amepata 600

Ukiweka kwa % hao wote itasoma 50% but kuna mmoja hapo amepata 50% + Kura moja.
Huyo wa 600 atakuwa hajapata
asilimia 50,huyo 601 anakuwa na asilimia zaidi ya hamsini.
 
Kitakachomwangusha Ruto ni kuwa mpinzani wake (yaani Odinga) ana backup ya system. Ruto anaweza akashinda na asitangazwe! Kikubwa nawaombea kwa Mungu wamalize mambo yao kwa amani maisha yaendelee.



YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
 
Hebu tuwekane sawa, mshindi anatakiwa awe na kura 50% plus 1 vote? Au 50% plus 1%?
Hebu tuelewane hapa kwanza, maana shule zetu za kata ni janga la Taifa mtu hadharani anacomment bila wasiwasi halafu Wakenya wanatucheka.
Simple logic mshindi apate 50% + 1 vote otherwise hakuna haja ya kuandika 50% +1% wangesema mshindi apate 51% (50%+1%)

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hii Ndio shida ya ukanda hata uwe mzuri namna gani kura zitagawanyika tu.
Yani Wenzetu pamoja na weledi wanaouonyesha kwenye kusimamia mambo yao lakini hili tatizo la ukabila na ukanda bado linawasumbua sana... ukiangalia ramani ile ya Kenya inayoonyesha kura zilivyopigwa utaona ruto katawala zaidi maeneo ya Rift Valley anapotokea na kati kati mwa kenya na odinga naye katawala zaidi maeneo ya magharibi na kusini magharibi japo yeye angalau kapata uungwaji mkono kiasi kikubwa maeneo ya mashariki, pwani na kaskazini mwa Kenya..
 
Back
Top Bottom