Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Mkuu mbona kama wewe sasa unataka kuukana hata ukweli ulio wazi.Ile speed ya Nation umeiona tena.Hizi figure zimeganda hapa zaidi ya masaa mawili yaliyopita View attachment 2321184
Masaa mawili?! Labda kama umetaka kujidanganya mwenyewe ili ufurahi, Kuna niliyopost hata saa halijaisha ni tofauti na hii, subiri waupdate tena nipost ili ulete kisingizio kingine.
 
Masaa mawili?! Labda kama umetaka kujidanganya mwenyewe ili ufurahi, Kuna niliyopost hata saa halijaisha ni tofauti na hii, subiri waupdate tena nipost ili ulete kisingizio kingine.
Hata mimi ninaangalia pia,au unadhani ni wewe peke yako ndiyo una link hiyo? Lakini kwa nini tubishane? Baada ya saa nzima naomba ulete tena kama kutakuwa na figures mpya.
 
Hata mimi ninaangalia pia,au unadhani ni wewe peke yako ndiyo una link hiyo? Lakini kwa nini tubishane? Baada ya saa nzima naomba ulete tena kama kutakuwa na figures mpya.
mkuu hapa ishu either media ziengeendelea kuhesabu kura zingezidi zaidi ya ile iliyopigwa na ingekuwa error kubwa sana,au udukuzi umefanyika mpaka mtu kajizidishia kura ,au mtu kashindwa kihalali kwa asilimia chache ila system inataka kufanya mambo yake
 
mkuu hapa ishu either media ziengeendelea kuhesabu kura zingezidi zaidi ya ile iliyopigwa na ingekuwa error kubwa sana,au udukuzi umefanyika mpaka mtu kajizidishia kura ,au mtu kashindwa kihalali kwa asilimia chache ila system inataka kufanya mambo yake
Nakubaliana na wewe,na kwa speend hasa ya NTV walikuwa wanakuja kuwa na final figure ya kushangaza,afadhari wamewapiga stop.
 
Ruto alikuwa pro Raila 2007 .Hivyo Raila alipata kura za Rift Valley. Kumbuka Raila ndo alishinda ule uchaguzi kiukweli.Sema Mwai Kibaki akaiba ule uchaguzi na kujitangaza yeye kashinda tena. Ndo fujo ndo mpaka kukawa na serikali ya mseto na Raila akiwa waziri mkuu.
Kuhusu Uhuru. Bila Ruto Uhuru asingepata kura za Rift Valley. Mind you that Wakalenjin na Wakikuyu ndo wengi sana.
Loo kweli siasa ina mengi,
 
Back
Top Bottom