tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,250
- 7,121
Mkuu umekosea sio 50+1% bali ni 50%+1Hamna atakayefikisha 50 + 1% ambacho ni kigezo cha ushindi! Uchaguzi unarudiwa
Mkuu umekosea sio 50+1% bali ni 50%+1Hamna atakayefikisha 50 + 1% ambacho ni kigezo cha ushindi! Uchaguzi unarudiwa
Wakenya ndio Wana presha kuliko sisi ni vile tu hii platform tuko watanzania wengi ndio maana unaona hivyoWatanzania mna presha kupita wenye uchaguzi wao duh mna kazi kubwa ndugu zangu
Hizi figure zina zaidi ya masaa mawili yaliyopita ziko hivyo hivyo.Nilitegemea uniletee figure mpyaHayo hapo wanatoa, kingine?View attachment 2321183
Kwa nini Raila ndio apigwe second round na sio Ruto?Yeah ni kwel, second round atapigwa vibaya mnoo.Kosa kubwa la raila ni kukubali kunadiwa na Uhuru..
Unaongea kama vile umeshahesabu kura zote kabla hata ya tumeYani pale walipoishia ndo hapo hapo Ruto alikuwa anatoboa 6.7M wakati hizo kura hana. Kama angefanikiwa ngoma ingeenda second round
Wewe unaelewa nn kuhusu 50% +1? Maana yake u need 51% of votes cast to win election!Mkuu umekosea sio 50+1% bali ni 50%+1
Sawa mkuuUnaongea kama vile umeshahesabu kura zote kabla hata ya tume
Masaa mawili?! Labda kama umetaka kujidanganya mwenyewe ili ufurahi, Kuna niliyopost hata saa halijaisha ni tofauti na hii, subiri waupdate tena nipost ili ulete kisingizio kingine.Mkuu mbona kama wewe sasa unataka kuukana hata ukweli ulio wazi.Ile speed ya Nation umeiona tena.Hizi figure zimeganda hapa zaidi ya masaa mawili yaliyopita View attachment 2321184
Mkuu nenda kwenye miongozo yao, mimi sihitaji tulumbane. Ila ulichoelewa sio sahihi. Kuna tofauti kati ya 51% na 50%+1Wewe unaelewa nn kuhusu 50% +1? Maana yake u need 51% of votes cast to win election!
Hata mimi ninaangalia pia,au unadhani ni wewe peke yako ndiyo una link hiyo? Lakini kwa nini tubishane? Baada ya saa nzima naomba ulete tena kama kutakuwa na figures mpya.Masaa mawili?! Labda kama umetaka kujidanganya mwenyewe ili ufurahi, Kuna niliyopost hata saa halijaisha ni tofauti na hii, subiri waupdate tena nipost ili ulete kisingizio kingine.
ninachoelewa hapo mtu apate 50% halafu na kura moja na kuendelea na siyo 51%Mkuu nenda kwenye miongozo yao, mimi sihitaji tulumbane. Ila ulichoelewa sio sahihi. Kuna tofauti kati ya 51% na 50%+1
mkuu hapa ishu either media ziengeendelea kuhesabu kura zingezidi zaidi ya ile iliyopigwa na ingekuwa error kubwa sana,au udukuzi umefanyika mpaka mtu kajizidishia kura ,au mtu kashindwa kihalali kwa asilimia chache ila system inataka kufanya mambo yakeHata mimi ninaangalia pia,au unadhani ni wewe peke yako ndiyo una link hiyo? Lakini kwa nini tubishane? Baada ya saa nzima naomba ulete tena kama kutakuwa na figures mpya.
Wewe unaelewa nn kuhusu 50% +1? Maana yake u need 51% of votes cast to win
Mkuu wewe ndio umekoseaWewe unaelewa nn kuhusu 50% +1? Maana yake u need 51% of votes cast to win election!
Nakubaliana na wewe,na kwa speend hasa ya NTV walikuwa wanakuja kuwa na final figure ya kushangaza,afadhari wamewapiga stop.mkuu hapa ishu either media ziengeendelea kuhesabu kura zingezidi zaidi ya ile iliyopigwa na ingekuwa error kubwa sana,au udukuzi umefanyika mpaka mtu kajizidishia kura ,au mtu kashindwa kihalali kwa asilimia chache ila system inataka kufanya mambo yake
Loo kweli siasa ina mengi,Ruto alikuwa pro Raila 2007 .Hivyo Raila alipata kura za Rift Valley. Kumbuka Raila ndo alishinda ule uchaguzi kiukweli.Sema Mwai Kibaki akaiba ule uchaguzi na kujitangaza yeye kashinda tena. Ndo fujo ndo mpaka kukawa na serikali ya mseto na Raila akiwa waziri mkuu.
Kuhusu Uhuru. Bila Ruto Uhuru asingepata kura za Rift Valley. Mind you that Wakalenjin na Wakikuyu ndo wengi sana.
Upo right just checked the rule!Mkuu nenda kwenye miongozo yao, mimi sihitaji tulumbane. Ila ulichoelewa sio sahihi. Kuna tofauti kati ya 51% na 50%+1