Hata nikifungwa macho naamini kura yangu itaenda kwa magufuli.
tunaomba tena wasombane waje mwanza na lissu wakaeleze ukabila wao tuone,
Hata nikifungwa macho naamini kura yangu itaenda kwa magufuli.
Binafsi ni mwanachama wa chadema nakwa hili bado sijaamini,mpaka niskie kauli toka kwa Edo mwenyewe.
Pia nina wasiwasi kama kweli amejiunga na ukawa bhasi kwa muda sitajishungulisha name siasa,nikiwa na maana sitakiunga chama changu kwenye shughuli zake zote.maana huu utakuwa undumilakuwili au kuuma na kupuliza.
Naamini kuja kwa Edo ukawa kuna hali ya hatari katika uchaguzi huu,hii inatokana na hali tuliyoiona kwenye harakati za kutafuta mgombea kupitia ccm.
Naomba niwakumbushe kidogo,kulikuwa na makundi mawili hasimpu.kundi la EDO na Membe kumbuka pia membe anauhusiano gani na JK.
Pia kumbuka pia uhusiano uliokuwepo kati ya JK na EDO miaka 10iliyopita.ona usaliti uliokuja to kea,kati ya mafahari watatu waliokuwa kama ndugu ambao ni Aziz,Edo na JK.
Sasa anza kufanya tathmini.
Kuja kwa Edo ukawa kuna Hali ya hatari ndani ya nchi yet.
Jiulize kwa nini nasema hii.
1. Kushinda kwa ukawa ni kushindwa kwa team membe. Najua unalijua hilooo,anza kuchanganua mwenyewe.
Je unadhani team membe watakubali?
Je wasipo kubali watachukua hatua gani?
Tanzania jiulize nini kitatokea baada ya hapo.
2.kwa upande wa pili kushinda kwa ccm kushindwa kwa team lowasa.
Je unafikiri Edo atakuwa tayari kushindwa kwa Mara ya pili?.
Je unafikiri Edo anawadha nini kwa kile anachoamini kuwa rafiki yake kipenzi amemsaliti?.
Hakika mwaka huu tutaona na kusikia mengi,Ila watanzania tukumbuke kinachoendelea humo wanavijua wakubwa wenyewe na wanajuana.hvyo wasije wakayufanya na sisi tukavurugana kwa faida ya matumbo yao wao na familia zao.
Tuendelee kusikia na kuona,ila hali ya hatari imeanza kunukia nchini kwetu.
MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Acha kutukuza mawazo ya marehemu wewe....Machiavelli ndo nani bwana! Mtu alishafariki miaka na wewe unataka mawazo ya marehemu ndio yatumike hapa? No!!!! Tunatumia mawazo hai ya watu walio hai.....
Kamanda kwa faida ya wanaukumbi hapa JF unaweza kutuambia kwa nini Dr.Slaa alimuita Lowassa Fisadi?
lowasa akisimama kwa tiketi ya ukawa nitampa kura ya ndioooooooooni dhahiri sasa lowasa amehamia ukawa. Je, ikiwa umoja huo utapitisha lowasa agombee urais, utampa kura nani kati yake na dr magufuli? Tutafute mshindi.