MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,598
- 30,140
Wana akili wanajitambua. Huwezi kupeleka mwizi, jambazi, fisadi Lowasa Ikulu.
Kabissaa
Wana akili wanajitambua. Huwezi kupeleka mwizi, jambazi, fisadi Lowasa Ikulu.
Naona kama hapatoshi!Kwa kweli uwanja umependeza sana. CCM mbele kwa mbele.
ccm kumejaa vilaza sana, ningekuwa na uwezo ningekamata mmoja mmoja nasaga kwenye mashine na kugeuza mbolea, nchi yetu ibaki na watu safi, nchi haiwezi endele na watu wajinga.
Niko pembeni yake mkuu wengi wanakeji kuwa wamemfata show ya bure ya wasaniiWasanii mbona wanaonyesha vidole viwili alama ya Chadema? Kuna mmoja yuko live sasa hivi. Ndo anafanya kituko hicho.
Tbc hawako fear hata kidogo...mkutano wa ccm wameonyesha mwanzo mwisho ...swal je? ukawa nao wataonyeshwa hiv hiv kwel???
mtaani kwangu zimekuja UDA mbili kuokoteza watu
Hii nyomi imevunja rekodi leo Magufuli tayari Rais jamani
Mbowe akiitwa kengeza huwa mnalia sana..oneni sasa
Wamilipia airtime wataoneshwa tu
Ahahaaaa.Ngoja waje!!
Huo ni ushabikiWasanii mbona wanaonyesha vidole viwili alama ya Chadema? Kuna mmoja yuko live sasa hivi. Ndo anafanya kituko hicho.
Mnadhania Ni nyie mmewatoa Moro na Aboud bure??? Na wale wa hapa Dar wameletwa na malory na daladala na buku 5 ya maji?? Mtakaa Sana UKAWA hamuiwezi, jipeni moyo panya road nyie mijizi ya nchi hiiNaona kama hapatoshi!
UKAWA wameahirisha kuanza kampeni ili pamoja na lile tatizo kubwa lakini wawalete watu toka Moshi na Arusha taratibu bila kushitukiwa. Kuanzia wiki hii Moshi na Arusha kutapungua idadi ya watu na hotel Dar zitajaa.