Yaliyojiri : Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA Lowassa, Masasi 22/09/2015

Utafiti wa TWAWEZA umewaambia siyo kila king'aacho ni dhahabu!

Siyo kila wanaohudhuria kwenye mikutano yenu watawapigia kura.

Mgombea mwenyewe anaongea dakika tatu. Unadhani watanzania wengi hawafahamu gharama ya muda wanaoupoteza kutaka kusikiliza Sera na Ilani kutoka kwa mgombea halafu badala ya kuwaeleza Sera na Ilani, anaishia kusema wampe kura.

Yaani yeye anataka wananchi wampe kura bila wao kuelewa atakachowafanyia. Kura ni mkataba.

Endeleeni kupiga kelele na kushangilia ''nyomi'' lakini pia jiandaeni kisaikologia kupata knockout ya kisiasa kutoka Magufuli.
twaweza waongo,nimefanya nao kazi sana
 
Kwa wale mliokuwepo Masasi vipi mgombea ubunge was Masasi katangazwa? Ni Mzee makaidi au Kundambanda wa CUF?
 
Mbona sioni mgombea akiongea? Medeye ndiye mgombea?
Picha zimechakachuliwa. Jaribu kuikuza hii picha, kwa mfano, halafu angalia hiyo mikono hapo kati kati (kwa wapiga picha waliosimama) ilivyojirudia. Hata rangi ni tofauti kabisa na wale walioko nyuma.
attachment.php
 
HEBU tupia ka picha mwee..

hahahaaaa...mweee. kwahiyo anamtishia nani..au ndo maandalizi ya kupiga mbizi kujiandaa na kwenda kigamboni..hatudanganyiki kwanza mazoezi gani hayo sisi wengine huwa tunafanya mazoezi hayo wakati wa kujiandaa 'kulala'...
 
Kwa staili hii tingatinga litauwa mtu mwaka huu
 

Attachments

  • attachment.jpeg
    attachment.jpeg
    11.5 KB · Views: 610
Narudia tena, NINA UHAKIKA 100% Kuwa CCM ndio imefikia ukomo wake mwaka huu!

Nina uhakika 100% kuwa LOWASSA ndiye Rais anayefuata baada ya KIKWETE!

Nina uhakika 100% UKAWA ndio washindi kwenye uchaguzi huu october 25!

NINA UHAKIKA 100% kwa haya niyasemayo!

mamaye ma c.c.m nimepuuza na nimewalaani na makufuli wao.....jk.come ooooooon.....!
 
Picha zimechakachuliwa. Jaribu kuikuza hii picha, kwa mfano, halafu angalia hiyo mikono hapo kati kati (kwa wapiga picha waliosimama) ilivyojirudia. Hata rangi ni tofauti kabisa na wale walioko nyuma.
attachment.php

Kumbe hata kwenye TV wamechakachua ee! Heri kuchakachua picha kuliko MAFUSO KUSOMBELEA WATU. Heri wanao nunua unifomu za vyama vyao kuliko wanao sambaziwa bure na huku wakiwa hawaji tambui.
 
Hata hiyo 25% mmependelewa hao watu hata robo ya wakazi wa masasi hawajafika. mkiona hivyo mnajua mmemaliza masasi yote
Wanachekesha kweli kweli, wakiambiwa wanao attend kusikiliza majukwaani ni asili mia 30% tu ya wapiga kura, UKAWA hawataki kabisa kusikia utafiti huo wa kisayansi wanaishia kuwa wakali kama pilipili wanafikia hatua ya kutukana watu wanalahumu kila mtu hisipokuwa WAO!
 
Utafiti wa TWAWEZA umewaambia siyo kila king'aacho ni dhahabu!

Siyo kila wanaohudhuria kwenye mikutano yenu watawapigia kura.

Mgombea mwenyewe anaongea dakika tatu. Unadhani watanzania wengi hawafahamu gharama ya muda wanaoupoteza kutaka kusikiliza Sera na Ilani kutoka kwa mgombea halafu badala ya kuwaeleza Sera na Ilani, anaishia kusema wampe kura.

Yaani yeye anataka wananchi wampe kura bila wao kuelewa atakachowafanyia. Kura ni mkataba.

Endeleeni kupiga kelele na kushangilia ''nyomi'' lakini pia jiandaeni kisaikologia kupata knockout ya kisiasa kutoka Magufuli.

unamaanisha nini hapo?sauti ya wengi ni sauti ya Mungu,hivi si hata zamiri zako zinakusuta kwa huo utafiti wa kutengeneza na ccm imekulwa pesa za bure hapo,kama watu walipuuza dr slaa sasa hawa sijui twaweza nani atawaamini?
 
Kumbe hata kwenye TV wamechakachua ee! Heri kuchakachua picha kuliko MAFUSO KUSOMBELEA WATU. Heri wanao nunua unifomu za vyama vyao kuliko wanao sambaziwa bure na huku wakiwa hawaji tambui.
Hebu angalia hizi picha mbili

OTH_8375.jpg


12039317_402798943246043_8716742998378758774_n.jpg
 
Back
Top Bottom