Mangi Mbishi
Member
- Sep 29, 2011
- 8
- 0
Vyema, wakati umefika sasa tuweke siasa za mashambulizi pembeni, tueneze sera
kwa wewe hautonielewa,, nachokwambia hakuna CCM wala upinzani hapo,, hao wote wanashirikiana kula kodi za wananchi,, bado sion anaezungumzia masuala mapana ya wananchi hapo,, *waliopo hatuwaamin wanaotaka tuwape ndo balaa*
ni kati ya slaa au baba yetu mpendwa lowassaSasa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema ni nani? Tupeni jina badala ya kujaza mapicha?
kwa wewe hautonielewa,, nachokwambia hakuna CCM wala upinzani hapo,, hao wote wanashirikiana kula kodi za wananchi,, bado sion anaezungumzia masuala mapana ya wananchi hapo,, *waliopo hatuwaamin wanaotaka tuwape ndo balaa*
Wameonyesha dharau kubwa sana kwa wapiga kura wao.Nimeshangazwa na kitendo cha Ester na Lembeli kurudisha kadi za ccm mwanza badala ya kwenye majimbo yao, huku wakidai wataenda kugombea huko kwao, sasa kama wameshindwa kupokea kadi zenu za ccm hizo kura watawapaje? Au mumetumika kama ngongoti au chambo cha kukusanyia watu maana bila nyie mkutano ungedoda. Watu walitaka kusikia mkitapika madudu/sumu za ccm lakini hamna kitu mumekalia porojo.
Ester ungebaki ccm na kugombea Ilemela hakiyanani ungepeta, haya Mdee anakupeleka chaka subiri uone. Lembeli hukuwa na mpinzani kahama umelaghaiwa na sasa utaula wa chuya.
wewe utakuwa m'mwandiga wewe
Nimeshangazwa na kitendo cha Ester na Lembeli kurudisha kadi za ccm mwanza badala ya kwenye majimbo yao, huku wakidai wataenda kugombea huko kwao, sasa kama wameshindwa kupokea kadi zenu za ccm hizo kura watawapaje? Au mumetumika kama ngongoti au chambo cha kukusanyia watu maana bila nyie mkutano ungedoda. Watu walitaka kusikia mkitapika madudu/sumu za ccm lakini hamna kitu mumekalia porojo.
Ester ungebaki ccm na kugombea Ilemela hakiyanani ungepeta, haya Mdee anakupeleka chaka subiri uone. Lembeli hukuwa na mpinzani kahama umelaghaiwa na sasa utaula wa chuya.
Nimeshangazwa na kitendo cha Ester na Lembeli kurudisha kadi za ccm mwanza badala ya kwenye majimbo yao, huku wakidai wataenda kugombea huko kwao, sasa kama wameshindwa kupokea kadi zenu za ccm hizo kura watawapaje? Au mumetumika kama ngongoti au chambo cha kukusanyia watu maana bila nyie mkutano ungedoda. Watu walitaka kusikia mkitapika madudu/sumu za ccm lakini hamna kitu mumekalia porojo.
Ester ungebaki ccm na kugombea Ilemela hakiyanani ungepeta, haya Mdee anakupeleka chaka subiri uone. Lembeli hukuwa na mpinzani kahama umelaghaiwa na sasa utaula wa chuya.
Nimeshangazwa na kitendo cha Ester na Lembeli kurudisha kadi za ccm mwanza badala ya kwenye majimbo yao, huku wakidai wataenda kugombea huko kwao, sasa kama wameshindwa kupokea kadi zenu za ccm hizo kura watawapaje? Au mumetumika kama ngongoti au chambo cha kukusanyia watu maana bila nyie mkutano ungedoda. Watu walitaka kusikia mkitapika madudu/sumu za ccm lakini hamna kitu mumekalia porojo.
Ester ungebaki ccm na kugombea Ilemela hakiyanani ungepeta, haya Mdee anakupeleka chaka subiri uone. Lembeli hukuwa na mpinzani kahama umelaghaiwa na sasa utaula wa chuya.
ni mafuriko
Ulitaka mkutano wa CCM taifa ufanyike Chato? Unamlinganisha Dr.Magufuli na Lembeli daa!!. Dr.Magufuli ndiyo rais utaki unaacha.Kwani Magufuli kwao wapi? Mbona alianza kujitambulisha Dar, Dodoma, Zanzibar na Mwanza?? Acheni maawali ya kitoto!! Ndio maana mnapigana na kugaqanyika kila dakika.