Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
kachome moto huu uchafu wa ccmKwa hali ilivyo nataka kurudisha kadi yangu ya ccm sasa sijui nimkabidhi nani? Au nitupe chooni naombeni ushauri
kachome moto huu uchafu wa ccmKwa hali ilivyo nataka kurudisha kadi yangu ya ccm sasa sijui nimkabidhi nani? Au nitupe chooni naombeni ushauri
muziki wa chadema ccm lazima wajifungie ndani kwa aibuKura ya wazi wananchi wakiikataa nyaraka ya CCM iliyovalishwa koti la 'Katiba Inayopendekezwa'.
Wakati wanashiriki 'Delete CCM, Futa Kabisa' inayoendelea nchi nzima, wanajiandaa kusema HAPANA!
......ccm wamejifungia Mwanza wanachungulia madirishani !!!
Wewe hujui kitu, masanduku yalikuwa ya aina 2, kuna yale mliojaza kura na mengine yaliletwa yakiwa yameshajazwa ili kuupata uongozi wa juu, yaani ile top 5, wee acha kubwabwaja kama bata.
Ccm watakabidhi nchi 2015 taka wasitake ndio uhalisia wananchi washachoka
mangikuleNow it is dawn!! I can see seriousness on the face of my heros" I can see the face of warrior into the eyes of Halima Mdee!! She is down to earth!! she means what she says!! Go my daughter goooooooo!! toka ulipopanda karandinga nimekukubali zaidi!! hakuna wale wapuuzi wa kijani!! watakao babaisha tena!!
wanaogopa mabomu maana chagadema hawana siasa za kistaarabu.
wanaogopa mabomu maana chagadema hawana siasa za kistaarabu.
leo sijui mtaficha wapi sura zenu kwa aibu
Kura ya wazi wananchi wakiikataa nyaraka ya CCM iliyovalishwa koti la 'Katiba Inayopendekezwa'.
Wakati wanashiriki 'Delete CCM, Futa Kabisa' inayoendelea nchi nzima, wanajiandaa kusema HAPANA!
wanaogopa mabomu maana chagadema hawana siasa za kistaarabu.
Haya ndiyo mnayoweza nyie watu.Hakuna vimfuko veusi hapa wala Chakula kama kwenye Mikutano yenu
Ccm watakabidhi nchi 2015 taka wasitake ndio uhalisia wananchi washachoka
Chagadema wanadhani kura hupigwa viwanjani.
Labda wanazungumzia nchi ya uchagani kama ipo.Nani akabidhi nchi kwa madalali wa ushoga na vibaraka wa Ujermani
Mimi nampenda huyu Dada aliyevaa miwani.
mangikule
You have just put nail on the head...
lakini watu wengi wanafikiri majuzi ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Halima kuingia selo kwa sababu ya kupigania maslahi ya wananchi. Alikwenda mara kadhaa, nadhani mara mbili au moja hivi akiwa Mbunge wa Viti Maalum akiwa pamoja na wananchi kadhaa wa Kawe waliokuwa wakipigania haki yao kwenye moja ya migogoro ya ardhi ambako maCCM na serikali yao kama kawaida walikuwa wamepora na kudhulumu wananchi.
Labda wanazungumzia nchi ya uchagani kama ipo.