MAFIE JR
Senior Member
- Feb 20, 2016
- 117
- 92
Kumbuka ni refa huyu pia alimpa red card Kelvin Yondan siku ya mechi ya Mtani Jembe....Mkashinda..
Sasa sijui alikuwa wa Simba siku hiyo..
Kubalini kushindwa tu mtani
Kufungwa Na yanga hakutunyimi hiyo nafasiKwa hiyo mwaka mwingine tena mikia hawatakwea pipa kwenda kwenye soka la majuu !!!!!
Teh...Sijauzungumzia ubingwa mimi mkuu...Ok, ndiyo mpira. Hongereni, lakini ubingwa bado ...
Nitembee uchi???
Pole mtani.Nitembee uchi???
Teh...Sijauzungumzia ubingwa mimi mkuu...
Nadhani wewe ndo unauota sana ubingwa..
haikuwa kipaumbele chaguMleta uzi kutumbuliwa. .!
Miss you more sugar....
Karibu tena,wewe unaonekana siku za mechi tu.
Miss you more sugar....
Karibu tena,wewe unaonekana siku za mechi tu.
Asante sana mtani.Pole mtani.
Wewe kweli mwanamichezo, comment zako za kiuanamichezo unazotoa. Pole mtani, rudini sasa mkamtafute Mwanga aliewafanya mpoteze mechi hii.
Hahahaah nami nimeshangaa.Yanga wana matatizo sana yani wao ndio wanashinda na wao ndio wazimiaji wakuu...
OKW BOBAN SUNZU tupe updates mkuu.
Naombea Simba wasifungwe, maana huwa hawachelewi kuwachenjia viongozi, wachezaji na kocha. Hawana uvumilivu.
updates za mechi ipi nyingine mkuu?OKW BOBAN SUNZU tupe updates mkuu.
Naombea Simba wasifungwe, maana huwa hawachelewi kuwachenjia viongozi, wachezaji na kocha. Hawana uvumilivu.
Nashukuru sana mkuu nasubiri watu wapungue mtaani ndio nianze kurejea homeTake it easy Mkuu Katavi.
Huu nimchezo tu ...Tembea kifua mbele na mavazi yako mekundu...mbona ndio mchezo. Akikucheka yeyote nawewe unacheka mnafrahi mwishowe unafika home powaa kabisa.
Yanga wana matatizo sana yani wao ndio wanashinda na wao ndio wazimiaji wakuu...