ooh kumbe kinywaji changuNyagi. Lakini anza kutamka Ko
ooh kumbe kinywaji changuNyagi. Lakini anza kutamka Ko
Chui ni serengeti..
Ngoja ninywe kwa raha hapa Toroka uje huku nikiserebuka na Sandton Sound kusherekea ushindi wa Ukawa!
Jimbo la segere..a
Ccm wametetea kata ya mogo
Hii nchi ya ajabu kweli kweli! Sasa huyo aliyeweka majina huko alikuwa anafikiri nini?
Mjini Kigoma Mtaa wa Ujiji Rubuga ambao Jumapili iliyopita ACT ilifungana kura na CCM na hivyo kusababisha uchaguzi huo kurudiwa leo kati ya vyama viwili (ACT na CCM), kura zimeshahesabiwa na ACT imeshinda kwa kishindo. Mjini Kasulu kati ya mitaa 5 ambayo matokeo yake tayari yameshatangazwa, ACT - 2, CCM - 3, CHADEMA - 0, NCCR - 0 na CUF - 0. Kata ya Usinge wilayani Kaliua Mkoani Tabora, kijiji cha Mabaha kati ya vitongoji 7 ACT tumeshinda vitongoji 5 na tumeshinda pia mwenyekiti wa kijiji hicho na wajumbe wa serikali ya kijiji.