Ilianza hivi
1..DAI LA KWANZA KURA 14854 HAZIJULIKANI ZILIKOTOKEA WAKATI WA MAJUMUISHO
Wakili upande wa mlalamikaji; siku ya kutangaza matokeo ulikuwepo?
Hawa: Sikuwepo
Wakili: kwanini hukuwepo kwenye kituo cha majumuisho?
Hawa: wakala wangu alikuwepo
Wakili: je ulisaini form ya matokeo
Hawa: Sikusain
Wakil: inatakiwa kama hujasaini ujaze form je ulisain?
Hawa: Wakala wangu hakupewa
Wakili: Aliomba?
Hawa: Hakuomba
Wakili: Je unafaham tofauti ya kura zako ulizopata na za mh Mnyika ni ngapi baada ya matokeo kutangazwa?
Hawa: ndio nafaham
Wakili: ni ngapi?
Hawa: 16198
(kwa maana mnyika alipata kura 66742 na Hawa kura 50544)
Wakili: madai yako kuwa kuna kura 14854 ambazo kwenye majumuisho hazieleweki zilikotokea....je unadhan kama ukipewa kura zote na kuassume ni zakwako je zitabadili matokeo?
Hawa: Hazitabadilisha matokeo
Wakili; kama hazibadili sasa madai yako makubwa hasa ni nini?
Hawa: Madai yangu ni ukiukwaji wa utaratibu wa majumuisho
Wakili: Mh.Mnyika anahusika vipi na huo utaratibu?
Hawa; sijui
Wakili: je,,matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambayo ni ya matokeo ya jumla ya kwenye vituo yanayoonyesha ulipata kura 50544 unamashaka nayo?
Hawa:Sina mashaka nayo
Wakili:Kama huna mashaka nayo basi hakuna tatizo kwenye ushindi wa Mh.Mnyika
Hawa:sikulalamikia ushindi bali utaratibu
Wakili:Kama ndivyo basi inaonyesha huna imani na tume ya uchaguzi?
Hawa:ninaiman nayo
Wakili:Je Unakumbuka siku ya kuhesabu kura mkurugenzi wa uchaguzi kutoka tume Kiravu alikuwepo?
Hawa:ndio alikuwepo
Wakili:we huoni kama mlikuwa mna bahati ya pekee kuwa na mkurugenzi kwenye kituo chenu cha kuhesabia kura?
Hawa:ndio ni bahati kubwa
Wakili:sasa iweje wewe huna imani na utaratibu uliotumika?
Hawa:kwa kweli hata mm hapo sielewi
2..DAI LA PILI:MALALAMIKO YA VITUO KUWA UAINISHAJI WA KURA KWENYE FOM HAUELEWEKI
Wakili:je ni vituo vingapi unavyovilalamikia?
Hawa:sijui wakala ndiye aliyeniambia mm sikuwepo
Wakili;Kwenye madai ya awali (Amended Petition) ulisema na ukasaini kuwa ulishuhudia wewe mwennyewe na unajua,,sasa iweje hapa mahakaman unakataa?
Hawa;Sina uhakika kama nilisema hivyo
Wakili;Je..Kingereza unakijua?
Hawa;Najua lakini cha kuokoteza
Wakili:Angalia hii (anampatia Amended petition ya madai yake)
Hawa;(Anaangalia )
Wakili:Je haya madai yaliyoandikwa humu na wakili wako na kusainiwa na wewe unayatambua?
Hawa:Ndio nayatambua
Wakili;sasa mbona unapinga hapa mahakaman kuwa anayejua kila kitu ni wakala ilihali wewe umesaini huu waraka?
Hawa:ni kutojua sheria tu.
3..DAI LA TATU :KUKASHIFIWA KWENYE MKUTANO WA TAREHE 11/09/2010 KUWA AMEUZA NYUMBA YA UWT
Wakili:je wakati huo Mh.Mnyika anakukashfu ulikuwepo?
Hawa:hapana sikuwepo ila niliambiwa na shahidi wa pili ambaye ni Robert Bondera
Wakili:baada ya kuambiwa ulichukua hatua gani?
Hawa:sikuchukua hatua yeyote na ndio maana nikaileta huku mahakamani
Wakili;je unazijua form za maadili?
Hawa:ndio nazijua
Wakili:je,ulijaza form na kusaini?
Hawa:ndio
Wakili:form zinaelekeza kama mgombea akikashifiwa wakati wa kampeni anatakiwa aandike malalamiko kwa mwenyekiti wa uchaguzi wa jimbo ambaye ni mkurugenzi .Je ulifanya hivyo?
Hawa:sikufanya
Wakili:je tarehe 30/07/2010 ulihojiwa na TAKUKURU kuhusu tuhuma za rushwa na jalada halijafungwa.ni kweli?
Hawa:ahaaa nilihojiwa ,,ni kweli lakini sikuwa na ufaham wa kukumbuka kama limefungwa au bado.
Wakili:wakati wa kipindi cha mijadala ya mchakato majimboni kuna mwananchi alikuuliza juu ya wewe kuhusika na uuzaji wa nyumba ya UWT..Ni kweli?
Hawa:Ndio ni kweli
Wakili;Ulisema utamshtaki,,je ulifanya hivyo?
Hawa;sikufanya hivyo
Wakili:kwa nn hukumshtaki ilihali ulishatangaza hadharani?
Hawa:nilipuuzia kwasababu haikuwa kweli
Wakili:kutokumshtaki kwako huoni kama kuna ukweli ndani yake?
Hawa:si kweli ..mm ndiye ninayesema
Wakili:wakati wa kampen mlikuwa mnaongozwa na nn?
Hawa:Na ratiba ya kampeni za nje
Wakili:je wakati mnapobadili ratiba ya mkutano mnetumia njia gani ya maandishi au simu?
Hawa;Maandishi
Wakili;Unaijua ratiba ya tume kama ukionyeshwa.
Hawa:ndio
Wakili(anampa na kumwambia asome tarehe hiyo 11/09/2010 ambayo anadai kukashifiwa kwenye mkutano Riverside)
Je,,kwenye hii ratiba inaonyesha chadema walikuwa na mkutano sehemu gani?
Hawa:haionyeshi kama walikuwa na mkutano
Wakili:sasa haya madai ya kukashifiwa tarehe hiyo uliyapata wapi wakati umekiri kuwa hawakuwa na mkutano kwa mujibu wa ratiba ya tume ya uchaguzi
Hawa:niliambiwa na shahidi wangu
Wakili:basi shahidi atatuhakikishia ukweli atakapokuja
HAKIMU
Wakili:umesema wakati mnyika anatangaza nia ya kugombea alimkashfu Hawa,,je haya maneno ni sahihi?
shahidi:ndio ni kweli
W
1..DAI LA KWANZA KURA 14854 HAZIJULIKANI ZILIKOTOKEA WAKATI WA MAJUMUISHO
Wakili upande wa mlalamikaji; siku ya kutangaza matokeo ulikuwepo?
Hawa: Sikuwepo
Wakili: kwanini hukuwepo kwenye kituo cha majumuisho?
Hawa: wakala wangu alikuwepo
Wakili: je ulisaini form ya matokeo
Hawa: Sikusain
Wakil: inatakiwa kama hujasaini ujaze form je ulisain?
Hawa: Wakala wangu hakupewa
Wakili: Aliomba?
Hawa: Hakuomba
Wakili: Je unafaham tofauti ya kura zako ulizopata na za mh Mnyika ni ngapi baada ya matokeo kutangazwa?
Hawa: ndio nafaham
Wakili: ni ngapi?
Hawa: 16198
(kwa maana mnyika alipata kura 66742 na Hawa kura 50544)
Wakili: madai yako kuwa kuna kura 14854 ambazo kwenye majumuisho hazieleweki zilikotokea....je unadhan kama ukipewa kura zote na kuassume ni zakwako je zitabadili matokeo?
Hawa: Hazitabadilisha matokeo
Wakili; kama hazibadili sasa madai yako makubwa hasa ni nini?
Hawa: Madai yangu ni ukiukwaji wa utaratibu wa majumuisho
Wakili: Mh.Mnyika anahusika vipi na huo utaratibu?
Hawa; sijui
Wakili: je,,matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambayo ni ya matokeo ya jumla ya kwenye vituo yanayoonyesha ulipata kura 50544 unamashaka nayo?
Hawa:Sina mashaka nayo
Wakili:Kama huna mashaka nayo basi hakuna tatizo kwenye ushindi wa Mh.Mnyika
Hawa:sikulalamikia ushindi bali utaratibu
Wakili:Kama ndivyo basi inaonyesha huna imani na tume ya uchaguzi?
Hawa:ninaiman nayo
Wakili:Je Unakumbuka siku ya kuhesabu kura mkurugenzi wa uchaguzi kutoka tume Kiravu alikuwepo?
Hawa:ndio alikuwepo
Wakili:we huoni kama mlikuwa mna bahati ya pekee kuwa na mkurugenzi kwenye kituo chenu cha kuhesabia kura?
Hawa:ndio ni bahati kubwa
Wakili:sasa iweje wewe huna imani na utaratibu uliotumika?
Hawa:kwa kweli hata mm hapo sielewi
2..DAI LA PILI:MALALAMIKO YA VITUO KUWA UAINISHAJI WA KURA KWENYE FOM HAUELEWEKI
Wakili:je ni vituo vingapi unavyovilalamikia?
Hawa:sijui wakala ndiye aliyeniambia mm sikuwepo
Wakili;Kwenye madai ya awali (Amended Petition) ulisema na ukasaini kuwa ulishuhudia wewe mwennyewe na unajua,,sasa iweje hapa mahakaman unakataa?
Hawa;Sina uhakika kama nilisema hivyo
Wakili;Je..Kingereza unakijua?
Hawa;Najua lakini cha kuokoteza
Wakili:Angalia hii (anampatia Amended petition ya madai yake)
Hawa;(Anaangalia )
Wakili:Je haya madai yaliyoandikwa humu na wakili wako na kusainiwa na wewe unayatambua?
Hawa:Ndio nayatambua
Wakili;sasa mbona unapinga hapa mahakaman kuwa anayejua kila kitu ni wakala ilihali wewe umesaini huu waraka?
Hawa:ni kutojua sheria tu.
3..DAI LA TATU :KUKASHIFIWA KWENYE MKUTANO WA TAREHE 11/09/2010 KUWA AMEUZA NYUMBA YA UWT
Wakili:je wakati huo Mh.Mnyika anakukashfu ulikuwepo?
Hawa:hapana sikuwepo ila niliambiwa na shahidi wa pili ambaye ni Robert Bondera
Wakili:baada ya kuambiwa ulichukua hatua gani?
Hawa:sikuchukua hatua yeyote na ndio maana nikaileta huku mahakamani
Wakili;je unazijua form za maadili?
Hawa:ndio nazijua
Wakili:je,ulijaza form na kusaini?
Hawa:ndio
Wakili:form zinaelekeza kama mgombea akikashifiwa wakati wa kampeni anatakiwa aandike malalamiko kwa mwenyekiti wa uchaguzi wa jimbo ambaye ni mkurugenzi .Je ulifanya hivyo?
Hawa:sikufanya
Wakili:je tarehe 30/07/2010 ulihojiwa na TAKUKURU kuhusu tuhuma za rushwa na jalada halijafungwa.ni kweli?
Hawa:ahaaa nilihojiwa ,,ni kweli lakini sikuwa na ufaham wa kukumbuka kama limefungwa au bado.
Wakili:wakati wa kipindi cha mijadala ya mchakato majimboni kuna mwananchi alikuuliza juu ya wewe kuhusika na uuzaji wa nyumba ya UWT..Ni kweli?
Hawa:Ndio ni kweli
Wakili;Ulisema utamshtaki,,je ulifanya hivyo?
Hawa;sikufanya hivyo
Wakili:kwa nn hukumshtaki ilihali ulishatangaza hadharani?
Hawa:nilipuuzia kwasababu haikuwa kweli
Wakili:kutokumshtaki kwako huoni kama kuna ukweli ndani yake?
Hawa:si kweli ..mm ndiye ninayesema
Wakili:wakati wa kampen mlikuwa mnaongozwa na nn?
Hawa:Na ratiba ya kampeni za nje
Wakili:je wakati mnapobadili ratiba ya mkutano mnetumia njia gani ya maandishi au simu?
Hawa;Maandishi
Wakili;Unaijua ratiba ya tume kama ukionyeshwa.
Hawa:ndio
Wakili(anampa na kumwambia asome tarehe hiyo 11/09/2010 ambayo anadai kukashifiwa kwenye mkutano Riverside)
Je,,kwenye hii ratiba inaonyesha chadema walikuwa na mkutano sehemu gani?
Hawa:haionyeshi kama walikuwa na mkutano
Wakili:sasa haya madai ya kukashifiwa tarehe hiyo uliyapata wapi wakati umekiri kuwa hawakuwa na mkutano kwa mujibu wa ratiba ya tume ya uchaguzi
Hawa:niliambiwa na shahidi wangu
Wakili:basi shahidi atatuhakikishia ukweli atakapokuja
HAKIMU
Wakili:umesema wakati mnyika anatangaza nia ya kugombea alimkashfu Hawa,,je haya maneno ni sahihi?
shahidi:ndio ni kweli
W