mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Wapenda haki popote mlipo,na wazalendo halisi wa taifa hili Tanzania inawahitaji katika kipindi hiki zaidi ya wakati mwingine wowote.Jitendee haki mteendee haki na Mtanzania mwenzako mhamasishe akapige kura ya ukombozi,Wataifa letu,haki huinua taifa.Ahsante sana mkuu Erythrocyte umetutendea Haki sisi tuliombali, tunamtakia kila Heri kipenzi cha Watanzania....Hakika Mtu huyu anapendwa sana na Wananchi na hakuna kitakachomzuia kwenda Ikulu, Nia ya kumchagua tunayo na Sababu za kumchagua tunazo....
Mbona unaweka picha za enzi ya Lowassa jamani?Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Tunduru
View attachment 1610535View attachment 1610536View attachment 1610537View attachment 1610538View attachment 1610539
Songea :
View attachment 1610755
Peleka ushahidi tume harakaWito wa Muhimu : TOA TAARIFA KUHUSU VITUO HEWA NA MALORI YANAYOSAFIRISHA KURA HEWA ( MAHINDI ) HARAKA IWEZEKANAVYO
Duh Songea SHIKAMOO......
😆😆😆Mbona unaweka picha za enzi ya Lowassa jamani?