Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu Mkoani Ruvuma

Ahsante sana mkuu Erythrocyte umetutendea Haki sisi tuliombali, tunamtakia kila Heri kipenzi cha Watanzania....Hakika Mtu huyu anapendwa sana na Wananchi na hakuna kitakachomzuia kwenda Ikulu, Nia ya kumchagua tunayo na Sababu za kumchagua tunazo....
Wapenda haki popote mlipo,na wazalendo halisi wa taifa hili Tanzania inawahitaji katika kipindi hiki zaidi ya wakati mwingine wowote.Jitendee haki mteendee haki na Mtanzania mwenzako mhamasishe akapige kura ya ukombozi,Wataifa letu,haki huinua taifa.
 
Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .

Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.



=========

Tunduru

View attachment 1610535View attachment 1610536View attachment 1610537View attachment 1610538View attachment 1610539


Songea :

View attachment 1610755
Mbona unaweka picha za enzi ya Lowassa jamani?
 
Back
Top Bottom