Usiwe unatutrlekeza sasa. Full updatesWakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Tunduru
View attachment 1610535View attachment 1610536View attachment 1610537View attachment 1610538View attachment 1610539
Alishafika kisha akaelekea Katavi,Kigoma wakakutana na JPM na akaingia karagwe,bukoba,,,,,hivi Lissu amefika rukwa kweli?
Weledi mkubwa tena bila pesa. Watanzania wameamuaok, pongezi kwa chama kuratibu mikutano kwa uweledi
Hehee kamanda uchwara kificho.....kale makande sengerema hukoMimi ni mwanaCdm mtiifu,ila nasema kweli.
That is called rumour mongering!Naomba amkemee yule bwana kwa kubeba wanafunzi kwenye malori na kukatisha masomo.
Pia suala la membe limalizwe
😁 Kuna watu hawaelewi maana ya LIVE wanadhani mtu kuwa eneo flani na hakuna chochote kinachotoka eneo husika wao kwao ndiyo live!, Wakati inatakiwa kila linalotokea huko una_publish.Kamanda mbona unamuumbua mwenzetu?
Tatizo ni pale unaposema live na kuweka link iliyokufa au isiyokuwepo.Kwani wewe unaelewa live maana yake ni nini?.Au unataka kusema huyo lisu hayuko uko paliposemwa yuko live.Maana mimi najua hiyo live inamuhusu muhusika anayesemwa kua yuko eneo husika kiualisia.Live ni kitu kinachofanyika,kutendeka au kilichopo eneo hilo kwa wakati huo.Sasa hebu lete nawewe hiyo maana yako tuijue.
Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Tunduru
View attachment 1610535View attachment 1610536View attachment 1610537View attachment 1610538View attachment 1610539
Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Tunduru
View attachment 1610535View attachment 1610536View attachment 1610537View attachment 1610538View attachment 1610539
Zanzibar tayarihivyo akishamaliza huko kusini atakiwa ameahamaliza mikoa yote?
na vipi zanzibar ameshafanya kampeni kule?
umeandika uchafu gani ?CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu👍
CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu😍
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii😍😍
CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli😁👍
CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda🤔👎
CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania😍🍹🍸💃👍
CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa😆👎
CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda👍
CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu👎
CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu👍
CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu🤣👎👎
WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli😍🇹🇿😍👍👍👍👍
Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema BAK
umeandika uchafu gani ?
Watakao toa taarifa hizo wazalendo halisi tutajipanga kuwazawadia.Wito wa Muhimu : TOA TAARIFA KUHUSU VITUO HEWA NA MALORI YANAYOSAFIRISHA KURA HEWA ( MAHINDI ) HARAKA IWEZEKANAVYO
Mama D my love upoCCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu
CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii
CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli
CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda
CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa
CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda
CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu
CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu
CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu
WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli
Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema BAK
Achana nae uyu wangu wewe leta habari tuumeandika uchafu gani ?