Ha ha ha acha kupanic maendeleo mnayakwamisha wenyewe .hivi kuzuia watu wasifanye siasa unaona ni sawa? Serikali inatumia gharama kubwa kuandaa majeshi kukabiliana na upinzania badala ya kufanya kazi za maendeleo ndo sawa hiyo? Na mkija kushtuka 2020 hii hapa msifikiri wananchi wajinga hakuna atakaewaelewa watu watauliza tuliwatuma mkajenge viwanda au kuwakamata wapinzani? Shtuka mapema chukua hatua.Unaona sasa agenda zenu zilivyo za kip.mbavu! Yaani lengo lenu kukwamisha maendeleo ya mtu aliyechaguliwa kihalali!!!! Uzuri JPM huwa anapitapita hii mitaa na ndo anazidi kujua anadeal na wapinzani wa aina gani. Atawakong'ota sana nyang'au nyie!
Hahaha,aisee hawa CUF achana nao,wakisema huwa hakuna mjadala,na huwa hawabahatishi.Chama pekee kisicho na longo longo kinapoamua kufanya maandamano pasi na kuhofia polisi ni CUF
Aisee kweli mnajifariji Ujinga.Ha ha ha acha kupanic maendeleo mnayakwamisha wenyewe .hivi kuzuia watu wasifanye siasa unaona ni sawa? Serikali inatumia gharama kubwa kuandaa majeshi kukabiliana na upinzania badala ya kufanya kazi za maendeleo ndo sawa hiyo? Na mkija kushtuka 2020 hii hapa msifikiri wananchi wajinga hakuna atakaewaelewa watu watauliza tuliwatuma mkajenge viwanda au kuwakamata wapinzani? Shtuka mapema chukua hatua.
hamna jipya washaufyata zmebaki siasa za ufipa
Kwelisumenti imeibiwa na wajanja
Kama kuna kiongozi wa dini yakoUnafikiri wana muda na huo upuuzi?
Wengine hawawajui hao simba wala yangaHYO TAREHE 1 OCT.NI SIMBA VS YANGA KWA HYO MAANDAMANO HAYATUHUSU.WATZ WOTE MACHO TAIFA
Sema utakavyo, lakini ukuta ilikuwa geresha tu.Kama kuna kiongozi wa dini yako
amehusika kwenda kukaa nao vikao
alafu wewe unaita upuuzi,basi kwenda kwako kusali huwa unapoteza muda.
mkuu unatamani sana uharibifu ukitokea? unaweza usiandamane lakini matokeo ya vurugu hizo zikakufuata sebuleni kwako. ni uamzi wa kupongezwa hasa kwa sisi tunao ombea amani ya nchi hiiHatimaye wale mabingwa wa uongo na unafiki chadema wameogopa dola na kuamua kuwadanganya wafuasi wao wasio tumia akili na kuwaambia eti kesho hakuna maandamano. Sasa vichwa vya habari kesho itakuwa:
Chezea dola wewe, wananchi tunamuunga mkono rais kwa asilimia 100%. Aendelee na kupambana na wala rushwa, mafisadi na wazembe.
- Ukuta wanywea kimya kimya
- Mbowe aogopa polisi
- Viongozi UKUTA wajisalimisha polisi