MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
- Thread starter
- #1,561
Ndugu,Una uhakika hizi picha ni za tukio la jana?
Usihangaike sana na hawa vijana wa Bavicha. Hawana hoja mbadala.
Ndugu,Una uhakika hizi picha ni za tukio la jana?
Una uhakika hizi picha ni za tukio la jana?
Moja ya masharti ya hizi ID za kimkakati nikupinga tu!! Mnakuwa mbumbumbu mpaka mnakuwa kama mazombie vile, hizo bus zisombe watu toka Dar nyinyi ukawa msione wala msipige picha hata moja na tecno zenu?
Yes, CCM ilishakufa Jijini Arusha!wewe unadhani za wapi hapo ndo Arusha wamewapa robo uwanja what i mean kusini na kusini mashariki na kaskazini mashariki mwa uwanja ila the rest palikuwa hakuna watu
Hizo hadithi zako na ndoto za alinacha, za kubeba watu kwa fuso na kuwashushia uwanjani bila aibu, kufunga viwanda vya A-Z na Sunflag na kuwavisha wafanyakazi t-shirt na kuwalazimisha waende uwanjani kwa kuwapa elf kumi kumi , kubeba watu toka longido na vijijini ili kujiliwaza, tar 25 ndo utaijua Arusha sio ya kuchezea. Dream on lofa...
A,to Z.walisombwa wote wakafunga kampuni kumsindikiza makufuli je!kura watalazimishwa???
Yes, CCM ilishakufa Jijini Arusha!