Yaliyojiri Fiesta

wekeni na picha na cc wa mbali tujifaidie jamani mweh
 
sound mbovu! performance ya baadhi ya wasanii mbovu hwajajua kutumia jukwaa la vile hata sielewi! na umeme ndo umehribu kinoma noma yaan kiujumla ni mbaya!
 
Mlishndwa kuwadunda? Mtaibiwa khla siku na hao wafu fm. Mngeondoka hata na viatu vya madam mchovu au simu ya bibi twelve.
 
Mambo ya vijana hayo...kaazi kwel kwel
 

Al-shabab hawakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…