Hizi Ndio Sababu zilizopelekea Mahombi, Davido, Diamond na Nay wa Mitego Kushindwa Kupanda katika Jukwaa la Fiesta Jana, Na badalayake Makamuzi yanafanyika Leo kuanzia saa 9 Mchana pale Leaders Bureeee
BAADA ya shoo ya Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 jijini Dar kusimama kwa muda leo alfajiri kwa hitilafu ya umeme, inatarajiwa tena kuendelea tena saa 9 alasiri leo katika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam bila kiingilio chochote.