SERENGETI FIESTA
kufa mtu wakipata Raha za Fiesta ila Gafla
Majira ya saa 10 usiku
Umeme Ukazima gafla
Wakati Ommy Dimpoz
akiwa jukwaani na
J.Martins kutoka Nigeria na
kusababisha show
hiyo iishie hapo.
Wengi Wamelalamika
kwa Sababu Wasanii
Wengi akiwemo
Diamond,Chege,
Temba,Madee,Afande
Sele na Wengine Kibao hawajafanya show
Wakati walikuepo
kwa Ratiba.
Kama Vile
haitoshi hata Msanii
kutoka Sweden
Mahombi hajafanikiwa kufanya
show.Watu
wamesubiri mpaka
saa 11 alfajiri
hatimaye wakakata
tamaa na kuanza kuondoka huku
lawama nyingi
zikienda kwa
Waandaaji kwa
kutojipanga Vizuri.