Alifukuzwa lini? Yuko bungeni kwa chama gani? Turudi kwanza kwenye PAC
Hilo utasubiri sana. Huo uhayawani wenu hautatokea kama mnavyodhani. Hajiuzulu mtu hapa.
Leo mnamkubali. Wanafiki sana nyie. Mmesahau kuwa alikimbilia mahakamani ili kulinda uanachama wake?
Mkuu kumbe wewe ni mmoja wa wale wakimbizi wa nchi jirani mliopewa uraia mwaka ulee na yule waziri wa sharia aliyepigwa chini. Ndiyo maana uzalendo huna wala uchungu na nchii hii sababu wewe ni mamluki.
Pamoja na mapungufu ya mama Makinda lakini kwenye sakata hili la Escrow amekuwa fair sana.
hilo utasubiri sana. Huo uhayawani wenu hautatokea kama mnavyodhani. Hajiuzulu mtu hapa.
Mumeo Lema ameshindwa hata kuongea kwenye mjadala kama huu. Sijui atatuambia nini sisi wana Arusha. Mjinga sana huyu.
Mkuu fafanua kidogo hapo.
Achana nae huyo mkuu, tuliowengi tunatambua mchango wako kuhusu hili swala mpaka linafika tamati leo.Najitambua sana mie siyo kama wewe punguani, ndio sababu michango yangu siku zote ni kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania. Wewe mpumbavu Buku 7 na tonge mbili za ubwabwa zinakutoa akili na kuamua kuisaliti nchi yako na Watanzania wenzio 45 millioni. Pumbaf mkubwa wee, Mxciuuuuuu.