Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,604
Huko Nyuma nililikuwa nasikia viongozi wakienda kufungua mashina na matawi huko Ulaya na Marekani, je yalikuwa ya msimu tu nini mbona siku hizi hawafungui hayo mashina na matawi huko ughaibuni?!