Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,455
- 10,869
Sihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.
Ungekuwa nayo usingesema. Tunawajua watu kama wewe. Hamtusumbui!
Sihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.
Kampuni wapi? Wewe njaaa kali. Una uwezo wa kufungua kampuni ulaya au marekani. Wabongo maneno mengi sana ndio, hawo wakina mengi wenyewe hawajafungua kampuni uko ulayaSihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.
Kwa uandishi huo, hiyo kampuni utaipata wapii? labda kampuni ya kusambaza uchawi ulaya na Oman, DubaiMwambie huyo kenge aingie Google na angalie
Nshimba inyernational welding konsuntant limited uk
Au aangalie Niwec invest
Nimpe yeye kazi na ukoo wake wote.atachagua akaishi Oman.Dubai au Uk au sweden..
Hahaha mbona polisi ccm huwa wanawapiga chadema pekeyao, kama lazima kubalance wangewapiga na wenzao wa ccm pia tuone.Mada gani hii inayoangalia upande mmoja tu, kamanda? Mimi najaribu kukumbusha tu.
Hahaha hivyo unataka kusema ile pesa aliyochangisha Makibda ameshaiiba?! Inaonyesha ccm washington wameleta kilakitu.CCM Washington ndio waliotoa kontena 36 za furniture and electronics kwa campaign ya makonda ya kujenga office za walimu zilizofika jana.
Chadomo ndio mnatakiwa mjiulize yale matawi yenu huko marekani yalifiaga wapi?
Mkuu naomba ajiraSihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.
Hahaha ungeomba Kazi, ajira unaweza usipateMkuu naomba ajira
Hahaha nilisikia chadema wako dunia nzima.Mbona huulizi matawi ya chadema. Bado yanafunguliwa huko ughaibuni?
Dunia gani, ya ufipa?Hahaha nilisikia chadema wako dunia nzima.
Hahaha yes, kama ni dunianiDunia gani, ya ufipa?
Danmank ndio wapiTumefungua Tawi La ccm sweden na luna wanachana wengi wana scandinavia wengi sana .watanzania wote wa nchi za Sweden,Norway,Finland,Danmank.
Hahaha huko ndio wananchi wake wote nasikia wamejiunga na ccmDanmank ndio wapi
Jidanganye tu, hata makao makuu yenyewe ni shagalabagala tu.Hahaha yes, kama ni duniani
Si ndio maana tunahamia dodoma tukajifiche huko.Jidanganye tu, hata makao makuu yenyewe ni shagalabagala tu.
Sihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.

Hahaha ndio analitoa libaki la kitajiri sasa.Mbona povu lako la kimasikini![]()
Hahaha ndio analitoa libaki la kitajiri sasa.
Hahaha Tanzania ya viwanda, vimeahamia nje ya nchi.Mma ninaa zake anadhani Kampuni ni kama mavi kila mtu anamiliki.Xenzi kabisa.
Chadema wakihamia Dodoma na mimi nitaanza kuzungusha mikono wallahi.Si ndio maana tunahamia dodoma tukajifiche huko.
Kampuni ya kutawaza maajuza ?hebu wahi kaoshe vyombo subwaySihitaji cheo wewe.nina kampuni kubwa sana inafanya vizuri nchi za Uk,uarabuni..na ujue mimi siyo nina njaa kama wewe kenge wewe.