Yalaaniwe mawigi

Hamissi Hamza Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2020
Posts
545
Reaction score
1,076
Jina urembo limeficha utapeli Na wizi wa wazi wazi, kwanini uwe na Taswira 2 ukivaa na kuvua wigi?

Serikali iingilie kati uingizwaji nchini wa urembo bandia, yaani nywele juu ya nywele, nyusi juu ya nyusi, kucha juu ya kucha. Mnaona haitoshi saivi ni makebo juu ya kebo.

UTAPELI TU๐Ÿ˜ž
 


View: https://youtu.be/7Div7rbS4I0?si=_4K-NyO8YTJpGJLj
1 Timotheo 2:9

9 Kadhalika, nataka wanawake wajipambe kwa heshima na kwa busara. Mavazi yao yawe nadhifu, si kwa kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu na mavazi ya gharama kubwa,

1petro 3:3-6
Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi; bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu. Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao. Kama vile Sara alivyomtii
 
Huu si mwaka 1970s ,Ww umeshachelewa , ndui dunia mpya, unaa chaguo moja tu ukubaliane na hali au uachwe nyuma

Utachagua ww
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ