Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?


Ukweli ni kwamba hapa jamvini Zitto kapanda chati zaidi lakini kwa umma wa watanzania walio wengi wanakipongeza CDM, wanajua kila mbunge hufanya kazi ya chama ya kusafisha uozo, kukemea serikali, kufichua uozo nk.

Kwa viongozi, wananchi wanaangalia ujasiri wa mmoja mmoja wakiamini kwamba pamoja na malengo ya chama, mengine yanataka ujasiri kuyatekeleza maana katika utekelezaji kuna kuumizwa na vyombo ya utawala wa serikali yetu dhalimu, ila bungeni hilo halipo hivyo inakuwa rahisi kutekeza malengo ya chama bila woga wowote.
 
Last edited by a moderator:
Ukiona habari za CDM hazi'leak' hovyohovyo kama za upande wa pili ujue hii inadhihirisha umakini wa CDM.
 
Hoja ya zito kumtk wzr mkuu kujiuzulu haikuwa na baraka za chama zito alkw anahoji mamlaka ya Slaa kudai hayo more updates soon kuna kichwa kule ndani ndo kimenibonyezea hii kwanza
Ukisikia mtu mnafiki ndo huyu sasa! Kuleta taarifa za kifitini, kizushi, zisizo na ukweli ni unafiki uliokomaa! Utasutwa na kufungwa khanga wewe shauri yako
 
mbona magamba mnapenda kujua nini kilitokea? CDM siyo CCM. CCM kila kikao wanachofanya kuna mwakilishi wa CDM.

Kwakuwa wameshindwa kupenyeza mamluki ndani ya baraza kuu sasa wamebaki wanahaha kila kona wakijaribu kuzusha haya na yale ili hatimaye wapate kujua kilichojiri.
Intellijensia yao imefikia kikomo na chama lao linaingia kaburini huku wakijiona.
Kingekuwa kikao cha gambaz sasahivi tungeshajua yote yaliyojiri!
 
Kimbunga,
Pamoja na heshima zote nazokupa hapa JF lakini kadri siku zinavyokwenda ninaanza kuona rangi yako halisi.

Sidhani kama unapigana vita ya mageuzi, sasa unadhihirisha kwamba uko upande wa pili lakini unajitahidi sana kung'ata na kupuliza.
Mkuu.
Huyu ni mnafiki kuliko watu wote hapa JF!!

Na ni mshabiki wa ujinga kupindukia, sijui watu wazima kama hawa inawagharimu nini kusubiri taarifa rasmi??

Hana tofauti na Kigwangala!!
 

Alikuwa hajui kama kuna "censorship" ya wapiganaji halisi wa ukombozi wa Tanzania kutoka makucha ya mafisadi.
 
Situmiwi mkuu. Mimi simo ndanibya CDM wala CCM ninachofanya ni kuunganisha tu mambo baada ya kufanya ufuatiliaji wa karibu hivyo kama yana ukweli kidogo na uongo mwingi labda huwa nakosea kidogo analysis ila naamini ukweli huwa mwingi. Mimi siyo swa na Kijukuu cha MWakipande; yeye mnasema yuko ndani mimi niko nje kabisaa.
 

Mkuu hakika heshima yako imeshuka sana hapa jamvini.Hata ukikana lakini wewe ni mmoja wa maadui wakuu wa CDM
 
Mkuu.
Huyu ni mnafiki kuliko watu wote hapa JF!!

Na ni mshabiki wa ujinga kupindukia, sijui watu wazima kama hawa inawagharimu nini kusubiri taarifa rasmi??

Hana tofauti na Kigwangala!!
Mkuu Bukanga kumbe ulishabadili ile avatar yako. Safi sana. Mkuu mimi ni mnafiki kwa kuwa sina mahaba na chama nina mahaba na nchi. Kwa hiyo kama si mwanachama wa CDM nikisema baya la CDM utaniona mnafiki.
 
Mkuu hakika heshima yako imeshuka sana hapa jamvini.Hata ukikana lakini wewe ni mmoja wa maadui wakuu wa CDM

Molemo karibun Katika siasa hakuna uadui. Maadui wa CDM ni viongozi wenyewe wa CDM nadhani unalijua hilo kwa kuwa uko ndani.
 
Molemo karibun Katika siasa hakuna uadui. Maadui wa CDM ni viongozi wenyewe wa CDM nadhani unalijua hilo kwa kuwa uko ndani.

Acha unafiki.Unafiki ni dhambi mbaya sana.Na unajua unfanya unafiki.Keep on lakini tutaona mwisho wake.
 

kijana hichi ulichoandika,naomba kikurudie ili upate fundisho.
Kuna watu mnaongea sana issue za familia,sijui kwakuwa hamjui ndoa ni nini?
 

Hili si la kupuuza maana mahusiano ya zito na mbowe na slaa hayako sawa muda wote. ukizingatia bwana mdogo huja na hoja nzito kuzitaoa au kuzipinga hakuna anayeweza mpaka mtei cabinet ikae. sas inawezekana dogo aliona upenyo wa madudu ya serikali akatema kombora Mzee wa bilicanas hakuwa na jinsi . halafu kwanini waseme wanamjadili shibuda leo kuhusu posho na wakati ule walisema wamempuuza! kumpuuza mtu ni sehemu ya maamuzi . hapa kuna kitu wajuvi leteni jamvini
 
Sio sahihi kuwa slaa na zitto wametofautiana naogopa kuona taarifa kama hiyo,na kama imetokea inasikitisha sana swala la kutofautiana kwa sababu ya zitto kumutaka pm pinda ajihuzuru ni jambo la kusikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…