ritz kikao kilikuwa na mambo mengi ya kujadili. Kuna ile ahadi aliyotupa Dr. Slaa hapa kwamba kamati zitaketi na kutuambia ni nini waliongea na Rais baada ya mikutano yao miwili. Hii taarifa haijawahi kutoka na ni matumaini yangu kuwa sasa itatolewa. Pili tukiambiwa kuna Kamati inachambua wajumbe wa Tume ya katiba na CDM itatoa taarifa; nadhani hili nalo litatolewa taarifa kwa umma. Na sasa hili la uwajibikaji wa serikali ambalo naona Zitto amejinyakulia nukta nyingi na kuna watu walitamani liwe la kichama zaidi na liwakilishwe na KUB lakini naibu KUB si kwa hicho cheo bali kama mbunge akatumia Ubunge wake kulisimamia. Hili limempandisha Zitto kwenye chati givyo itabidi na wengine waje na single zao. Kumbuka Zitto alipokuja na hoja ya posho mwingine akaja na hoja ya kukataa gari la KUB. Timing tu hapa.
Ukisikia mtu mnafiki ndo huyu sasa! Kuleta taarifa za kifitini, kizushi, zisizo na ukweli ni unafiki uliokomaa! Utasutwa na kufungwa khanga wewe shauri yakoHoja ya zito kumtk wzr mkuu kujiuzulu haikuwa na baraka za chama zito alkw anahoji mamlaka ya Slaa kudai hayo more updates soon kuna kichwa kule ndani ndo kimenibonyezea hii kwanza
mbona magamba mnapenda kujua nini kilitokea? CDM siyo CCM. CCM kila kikao wanachofanya kuna mwakilishi wa CDM.
Mkuu.Kimbunga,
Pamoja na heshima zote nazokupa hapa JF lakini kadri siku zinavyokwenda ninaanza kuona rangi yako halisi.
Sidhani kama unapigana vita ya mageuzi, sasa unadhihirisha kwamba uko upande wa pili lakini unajitahidi sana kung'ata na kupuliza.
Tatizo lako umeanza kuwa kama ndugu yangu yule wa feasibility study, unachanganya uongo na ukweli. Unachukua ukweli kidogo na kujazia uongo mwingi, na hii inatokea mara nyingi sana unapoizungumzia chadema.
Naanza kupata wasiwasi kwamba huenda una agenda yako binafsi ya siri kwakuwa siamini kama wewe unatumiwa na gamba!
Kikao chao kimevunjika Slaa na Zito wamepishana kauli na kurushiana maneno makali
Situmiwi mkuu. Mimi simo ndanibya CDM wala CCM ninachofanya ni kuunganisha tu mambo baada ya kufanya ufuatiliaji wa karibu hivyo kama yana ukweli kidogo na uongo mwingi labda huwa nakosea kidogo analysis ila naamini ukweli huwa mwingi. Mimi siyo swa na Kijukuu cha MWakipande; yeye mnasema yuko ndani mimi niko nje kabisaa.Tatizo lako umeanza kuwa kama ndugu yangu yule wa feasibility study, unachanganya uongo na ukweli. Unachukua ukweli kidogo na kujazia uongo mwingi, na hii inatokea mara nyingi sana unapoizungumzia chadema.
Naanza kupata wasiwasi kwamba huenda una agenda yako binafsi ya siri kwakuwa siamini kama wewe unatumiwa na gamba!
Kikao chao kimevunjika Slaa na Zito wamepishana kauli na kurushiana maneno makali
Situmiwi mkuu. Mimi simo ndanibya CDM wala CCM ninachofanya ni kuunganisha tu mambo baada ya kufanya ufuatiliaji wa karibu hivyo kama yana ukweli kidogo na uongo mwingi labda huwa nakosea kidogo analysis ila naamini ukweli huwa mwingi. Mimi siyo swa na Kijukuu cha MWakipande; yeye mnasema yuko ndani mimi niko nje kabisaa.
Mkuu Bukanga kumbe ulishabadili ile avatar yako. Safi sana. Mkuu mimi ni mnafiki kwa kuwa sina mahaba na chama nina mahaba na nchi. Kwa hiyo kama si mwanachama wa CDM nikisema baya la CDM utaniona mnafiki.Mkuu.
Huyu ni mnafiki kuliko watu wote hapa JF!!
Na ni mshabiki wa ujinga kupindukia, sijui watu wazima kama hawa inawagharimu nini kusubiri taarifa rasmi??
Hana tofauti na Kigwangala!!
Mkuu hakika heshima yako imeshuka sana hapa jamvini.Hata ukikana lakini wewe ni mmoja wa maadui wakuu wa CDM
Molemo karibun Katika siasa hakuna uadui. Maadui wa CDM ni viongozi wenyewe wa CDM nadhani unalijua hilo kwa kuwa uko ndani.
Idiotic thinking.Umaarufu wa Zitto unawasumbua Marais wa CDM.
Idiotic thinking.
Nilikuwa sijasain in, nimeona nisain nikujibu. Umenichekesha unavymsema Zitto eti hajawahi kuoa, kwa msingi huo hawezi kuongoza nchi. Duuu hata wewe, hivi kuongoza kunahitaji experience inayofananishwa Na familia tena ya mke Na MUME Na watoto. Hivi Zitto haongozi jimbo? Si Kiongozi wa CHADEMA? Anyway anaweza akawa haongozi mke Na watoto lakini anaiongoza familia aliyozaliwa pale tabata. Unaweza ukawa umeoa lakini ushindwe kuiongoza hiyo familia. Umenichekesha sana kweli sometimes I do not know huwa tunafikiri vipi. Hivi kwanini Zitto asiwe raisi? Slaa tukiangalia upande wa familia I can say ilimshinda ndomaana walitengana Na mkewe, ila huyo mwaona ni raisi bora. Anyway ni kawaida kwa wabongo kuwa Na double standards.
huyo zitto wamfukuze aende kwenye chama chao cha waislam hiki ni chama chetu wakristo.
Mkuu wasingesaini wasingeeleweka mbele ya macho ya Watanzania. Hii kitu imempa umaarufu Zitto na kuna watu roho zinawanyongorota. Zitto aliwalia timing na kuweka hoja hadharani hivyo isingekuwa rahisi kuizuia hadharani. Katika siasa kuna wakati mnakuwa hamko pamoja lakini hadharani mnajifanya ni wamoja.