nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Niliwahi kuhoji kwa nini wanafunzi wengi wanafeli katika shule ya sheria watu walikuja juu humu jf kuwa wanafunzi hawasomi,lakini juzi imegundulika kuwa wanafunzi wanafelishwa makusudi na mwalimu mmoja katimuliwa na wengine kupewa onyo.
Tusiwe tunashabikia tuuu eti wanafunzi hawasomi kumbe kuna mizengwe.
Tusiwe tunashabikia tuuu eti wanafunzi hawasomi kumbe kuna mizengwe.