Yajue yote kuhusu ESCROW AKAUNTI

Yajue yote kuhusu ESCROW AKAUNTI

si wanajua mwishowe utakuwa umewaibia wananchi nchi.HUKUMSIKIA BUSH ALIVYOMWAMBIA JK,HAWAWAPI HELA ILI WAWAIBIE WANANCHI WAO.
 
Humu humu kwenye jf washabiki wa ccm nimewasikia wakisema eti kuzungumuzia hoja za ufisadi na wizi wa mali ya umma ni kuzungumzia hoja zilizopitwa na wakati kwamba hizo hoja ziliisha buma. Bado natafakari maana yake. Kwamba huwezi kuwa imara kisiasa bila kuwaibia unaowatawala au waliposemwa walioiba wamejirekabisha? Cmm ina watu. Wote kama kinana kinana hivi?
 
ili maisha yako yawe mazuri kama wewe ni mfanyakazi hapa bongo lazima uwe mwizi ukiwa mtumishi mwaminifu utakufa masikini
 
Mimi nina mashaka hapo kwenye uwekezaji fedha za ESCROW ndani na nje ya nchi.Wanasema kiasi cha fedha za escrow kiliwekezwa Ufaransa je waliwekeza Ufaransa kwenye kampuni gani?Maana tuhuma mkubwa za ufisadi zilielekezwa kwenye utoroshwaji wa fedha nje ya nchi kwa awamu.Sasa wanatuambia wamewekeza nje lakini hawatuambii waliwekeza kwenye kampuni ipi.Labda pia wanapaswa kuja na valid documents zinazoonyesha waliwekeza wapi?No single stone should be let unturned!
 
Hiyo ndiyo mikakati ya rosti wa hamu katika harakati zake za kutuchagulia raisi ajaye mwaka 2015 kutoka kwenye listi ya vibaka wenzake.
 
Fedha ni za IPTL na si za TANESCO,serikali iliagiza fedha zilipwe kwa IPTL wakati Escrow ilikuwa A/C ya pamoja iliyotokana na mgogoro wa mtaji halisi uliowekezwa na IPTL???,kesi ya mgogoro wa ukokotoaji wa malipo halisi kutoka TANESCO kwenda IPTL mrejesho wake mbona hatuhujui?
PAP ndiyo mmiliki halali wa IPTL baada ya kununua hisa za IPTL,mbona hatujaona cheti cha ununuzi wa hisa kutoka Mechmar (70% of shares, equity owner) by PAP?.Na lile deni la IPTL Standard Chartered HongKong atalipa nani vile?,Pia inasemekana kuwa migogoro yote kati ya IPTL na TANESCO itatatuliwa na chombo binafsi ambacho ni nje ya mahakama zetu,sasa maamuzi ya Ndugu Mtukufu Mhe.Jaji Utamwa yana uhalali gani katika mkataba wa IPTL vs TANESCO?Sawa Baba tumekusikia ila hatujakuelewa kajipange upya,kwa niaba ya watanzania wapenda haki nasema"Nitaendelea kuheshimu na kulinda uhuru wako wa kutoa maoni kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa(Agano la kale) ila nayapinga maoni yako yasiyokuwa na mashiko".KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI KWANI NI FIKRA SAHIHI..
 
hata hizo zetu mdau huwa tunaziona,,,,,hela za Kagoda za kwao,Deep finance za kwao,Kiwira za kwao,sie hatuna pesa,pesa wanamiliki wao sisi tunamiliki KADI ZA KUPIGIA KURA,ambazo nazo wakat wa uchaguz baadhi ya watu huporwa
Hella za EPA zilikuwa za makapuni ya Ulaya na Asia yaliyokufa ambayo hayakulipwa hela zao... Hazikuwa za Mjomba wako au Shangazi yangu!
 
Kuna watu humu hawaelewi kabisa, kuna mtu anaweza kuniambia pesa zile ni za nani zilitoka wapi na aliechukua ni nani?
 
Kuna watu humu hawaelewi kabisa, kuna mtu anaweza kuniambia pesa zile ni za nani zilitoka wapi na aliechukua ni nani?

-Pesa ni za tanesco
-Kwaajili ya kuwalipa IPTL

LAKINI

Kutokana na utata wa capacity charge Tanesco wakafungua kesi kulal mika huko uingereza, na kabla kjesi haija isha Tanesco wakandika barua mahakamani Uingereza kuw awao basi n ahapohapo mpunga ukatolewa wote kwa IPTL.
 
Fedha ni za IPTL na si za TANESCO,serikali iliagiza fedha zilipwe kwa IPTL wakati Escrow ilikuwa A/C ya pamoja iliyotokana na mgogoro wa mtaji halisi uliowekezwa na IPTL???,kesi ya mgogoro wa ukokotoaji wa malipo halisi kutoka TANESCO kwenda IPTL mrejesho wake mbona hatuhujui?
PAP ndiyo mmiliki halali wa IPTL baada ya kununua hisa za IPTL,mbona hatujaona cheti cha ununuzi wa hisa kutoka Mechmar (70% of shares, equity owner) by PAP?.Na lile deni la IPTL Standard Chartered HongKong atalipa nani vile?,Pia inasemekana kuwa migogoro yote kati ya IPTL na TANESCO itatatuliwa na chombo binafsi ambacho ni nje ya mahakama zetu,sasa maamuzi ya Ndugu Mtukufu Mhe.Jaji Utamwa yana uhalali gani katika mkataba wa IPTL vs TANESCO?Sawa Baba tumekusikia ila hatujakuelewa kajipange upya,kwa niaba ya watanzania wapenda haki nasema"Nitaendelea kuheshimu na kulinda uhuru wako wa kutoa maoni kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa(Agano la kale) ila nayapinga maoni yako yasiyokuwa na mashiko".KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI KWANI NI FIKRA SAHIHI..

Utaujua vipi na ulisikia kuwa Tanesco waliandika barua mahakamani kujitoa/kufuta kesi.
 
wadau ninategemea kurudi kijijini wiki lijalo,,
nikiwa huko nategemea kuspend wiki 2 hiv,,
nataka muda huu niutumie kuwaelimisha watu juu ya hili saga la Escrow na Iptl,,Sasa basi naomba detaila za kutosha na zinazoeleweka kwa watu wa kiwango chochote cha elim,,,,

tafadhali sana,kumbuka watu wa vijijini wengi hawajui kitu juu ya huu Unyama,,,

cc kurugenzi ya habari ya chadema,molemo,ben saanane,na wengine wote
 
Escrow ni hela za watanzania,zimewekwa hazina bank kuu,halafu mwanasheria mkuu akaamua kumpa singasinga bilion 200,atumie.
 
Njia bora ya kumaliza utata juu ya umiliki wa fedha za Tegeta Escrow Account ni vyema IPTL na TANESCO wawasilishe mahesabu na nyaraka zote zinazothibitisha madai yao kwa CAG ili atoe tamko rasmi kama fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Escrow ya Tegeta ni mali ya IPTL au umma.
 
Fedha zilizokuwa katika "Escrow Account" zilikuwa kwa ajili ya kuilipa IPTL kwa "Capacity charges". Ni wazi kuwa fedha hizo hazikuwa mali ya Serikali. Kwa hiyo basi, maamuzi ya Kamati ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali (PAC) kwamba fedha zote zilizokuwa kwenye "Escrow Account" zilikuwa mali ya Serikali kwa sababu tu akaunti hiyo ilikuwa Benki Kuu sio sahihi. Ukweli ni kwamba maamuzi haya yamewapotosha Watanzania ambao wamenyimwa kuelezwa tafsiri iliyo ya kweli. Badala yake Bunge lilisisitiziwa na PAC kuwa fedha ambayo sio ya Serikali haiwezi kuwekwa Benki Kuu na wala kukaguliwa na CAG. Ingawa katika sehemu fulani ya ripoti ya CAG pameandikwa kuwa fedha hizo zingeweza kuwa mali ya Serikali. PAC hawakudadisi ni kiasi gani kingeweza kuwa mali ya Serikali na kiasi gani kingeweza kuwa siyo mali ya Serikali. PAC alipaswa kutoa hizo tarakimu lakini hakufanya hivyo. Badala yake baadhi ya Waheshimiwa Wabunge waliamua kupaza sauti kuwa fedha zote zilikuwa mali ya Serikali. Ni dhahiri kuwa huo haukuwa msimamo ulio wa kweli, ulio wa haki na ulio na uhakika. Msimamo huo umewapotosha wananchi wa Tanzania na hata wafadhili kusitisha misaada yao.
 
Back
Top Bottom