lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Tatizo ni kukimbilia jf kuanzisha thread.
Sasa wakague pesa gani wakati zimeshakwapuliwa!?
Na hata kama ni justification, pesa zilitolewa bila kufuata taratibu na kama ulimsikiliza Prof. Mwandosya kwa umakini Bungeni alisema wazi kuwa BoT ni mali ya umma na irregulalities zozote za kutoa pesa ni uhalifu.
Lakini.... PAP does not exist na hao walioidhinisha walijua hilo ndio maana BRELLA wana signs tu bila majina ya signatory alafu unaongelea kwenda tena kwa CAg badala ya kwenda INTERPOL au polisi!
Sasa wakague pesa gani wakati zimeshakwapuliwa!?
Na hata kama ni justification, pesa zilitolewa bila kufuata taratibu na kama ulimsikiliza Prof. Mwandosya kwa umakini Bungeni alisema wazi kuwa BoT ni mali ya umma na irregulalities zozote za kutoa pesa ni uhalifu.
Lakini.... PAP does not exist na hao walioidhinisha walijua hilo ndio maana BRELLA wana signs tu bila majina ya signatory alafu unaongelea kwenda tena kwa CAg badala ya kwenda INTERPOL au polisi!