Yajue Maslahi ya MAJAJI Tanzania

Yajue Maslahi ya MAJAJI Tanzania

Ukiwa jaji umeula hadi kifo. Yafuatayo NI maslahi ya Majaji wa Mahakama Kuu na Rufaa nchini.

1. Kulipiwa nyumba Grade A,
2. Usafiri (4WD/dereva/mlinzi),
3. Kusafiri daraja la biashara/Kwanza kwenye ndege,
4. Posho ya mavazi.

NB: pamoja na yote haya bado wapo wanachukuav rushwa?

**Naambatanisha na Sheria husika
Mbona Jaji Mkuu amesema wanapata stahiki kiduchu sana. Kwahiyo unamkosoa Jaji Mkuu?
 
Mleta mada mwanga wewe tafuta hela

Acha kuoneq wivu wengine

Na wewe nenda kawe jaji basi

Una roho mbaya ya kimaskini hupendi wengine wapate

Una ushahidi wa jaji yeyote kupokea rushwa? Nenda kashtaki Takukuru
Kwa hiyo hawali rushwa?
 
Na maslahi ya makarani wa mahakama ipo wapi?

Hawa ni njaa na miungu watu,na haki inapotelea kuanzia huku hasa mahakama za chini.

Muda wowote file lako linapotea!
 
Back
Top Bottom