Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 2,469
- 2,903
Inaitwa SOCIAL SINWatu wanachukua rushwa kwasababu watu waliowazunguka ni masikin sana wanahtaji msaada. Familia ndugu uliosoma nao nk nk. Labda kizaz cha tatu baada ya kufanikiwa kama mo dewji lakin kama wewe ndio wa kwanza kutoka huko kwenu hiz mambo ni nadra kukwepa. Ni sawa na mbunge wanapata hela nyingi lakin akili zetu watz za kijamaa muda wote tunashida na tushaamua watu wa kuzitatua ni serikali hatuko tayar kutumia akili zetu kuzitatua. Sasa serikali ikiingia mitini ndio tunalokotwa na akina mwamposa kiulaini. Wabunge wanakimbiq kukaa majimboni kwasababu wenye shida kila siku wapo nyumbn kumletea shida.