technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,695
- 52,319
Yahya Jammeh ametangaza hali ya hatari nchini Gambia.
Amesema yeye ndiye rais ni mpaka uchaguzi mwingine utakapifanyika.
Amesema maandamano hayataruhusiwa.
Hiyo inatokea kabla ya siku moja muda wake wa kukaa madarakani ukiwa umebakiza masaa 24.
Mikusanyiko na maandamano ni marufuku.
Chanzo: BBC
Amesema yeye ndiye rais ni mpaka uchaguzi mwingine utakapifanyika.
Amesema maandamano hayataruhusiwa.
Hiyo inatokea kabla ya siku moja muda wake wa kukaa madarakani ukiwa umebakiza masaa 24.
Mikusanyiko na maandamano ni marufuku.
Chanzo: BBC