Yahusu wafufuao wafu na misukule

Mbona sikunyingi tu watu wanapigwa? Enzi hizo kakobe ndio alikuwa habari ya mujini.Aliwaambia waumini wakalete mikufu,dhahabu,almasi na vingine vya thamani ili wagawiwe maskini! Mh! Akawa tajiri yeye mwenyewe. Akatangaza watu wauze Mali zao na kuwapa maskini kwa vile mwaka2000 ndio mwisho wa dunia. Yaani ni vituuuko. Acheni waliwao waendelee kuliwa kwa vile akili wanazo ila kuzitumia hawataki. sikuhizi mtu akiona maisha ni magumu na hana kazi anakuwa Mchungaji utawaona mitaani na maspika au kwenye mabasi. Yaani ni balaa tupu.Kwa wale wasioamini hebu tafuteni movie ya Kanumba devils kingdom huwenda mkajifunza kitu. Makanisani Siku hizi niusanii mtupu.
 

Wewe+baba ako +mchungaji wote washirikina
 
Wahanga wakubwa wa haya mambo ni wanawake ndio kwa sababu wanawake wengi hupenda kusikia wanachotaka
 
Gwajima ni mhuni tu kama walivyo wahuni wengine wa vijiweni ila yeye kijiwe chake kaamishia kanisani kwake

#Yanga
 
Nevertheless, you comprehend my argument. If what you said is true, why are you changing your own thread? Paul used VITAMBAA KWENYE BIBLIA. John used Water kwenye Biblia, why are you against what you preach?

Bado nashindwa kuelewa kwanini unapingana nami! Kwanza sijabadili heading bali nilikusahihisha wewe , pili sipingani na Bible bali napingana na mafundisho ya watu wanaoojiita manabii na mitume wa siku hizi jaribu kuelewa ninachoongelea
 
Bado nashindwa kuelewa kwanini unapingana nami! Kwanza sijabadili heading bali nilikusahihisha wewe , pili sipingani na Bible bali napingana na mafundisho ya watu wanaoojiita manabii na mitume wa siku hizi jaribu kuelewa ninachoongelea
Matthew 7:1-3King James Version (KJV)

1 Judge not, that ye be not judged.
2 For with what judgment ye judge, ye shall be judged: and with what measure ye mete, it shall be measured to you again.
3 And why beholdest thou the mote that is in thy brother's eye, but considerest not the beam that is in thine own eye?
 
Unapingana nao kwa kutumia aya zipi?

Wewe unafikiri wako sahihi? Umekariri vifungu vingi vya Bible naamini umesoma vema habari za manabii wa uongo kama huzifahamu basi kuna shida mahali

Na tazama nyakati za mwisho watatokea manabii wa uongo watakuwa na uwezo na kuponya na kufufua wafu watatenda miujiza kwa jina langu watakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima LAKINI MSIWAAMINI HAO
 

Hahahahaha.........
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...
 
You are still supporting not your claims with verses but empty words.
 
na waumini kufa njaa kuwaambia waende kanisani jumatatu mpaka ijumaa aiseee kama moto upo nitweka kuni zangu aisee

Wakati biblia inasema tu ikumbuke siku ya bwana na kuitakasa....na sio siku za bwana...
 

Kwa hivyo weye wadhani kuwa kwa maneno yako hayo unategemea watu flan waje kwako weye kuwa uliachiwa kibuyu?? Pole sana, si hukumu ila huyo aliyewapa hiyo dawa naamini aliingia humo humo mwenye kaburi lenu na anaungua hadi kieleweke.
Unathubutu kuja humu jf na kujitapa ati ulienda kushuhudia Mchungaji wa Bwana akipewa uchawi. Weye na yeye unajua mwisho wenu ni wapi?? Lile ziwa liwakalo moto na kibiriti milele. Pole sana. Najua utasema nimekuhukumu ila hapana, Neno la Mungu ndo limekuhukumu. Umeshiriki kuwapoteza wengi.
 
Naomba kueleweshwa kuwa ni vigezo vipi mtu anatumia kujiita Nabii na Mtume kwa pamoja? Au huwa ni wanaitwa na waumini?

Nilisoma divinity na nilivyofundishwa ni kuwa sifa ya Nabii ni kwamba lazima awe na uwezo kuforetell n foresee yaani aweze kuona na kusema mambo yajayo...Je na hawa wa sikuhizi na walio wengi hivi wanaweza kufanya hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…