thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 204
Profile hata mm naona bado haifunguki kabisaVipi profile zinafunguka ? Kwani kwangu mtandao upo chini sana kwa sasa
Profile hata mm naona bado haifunguki kabisaVipi profile zinafunguka ? Kwani kwangu mtandao upo chini sana kwa sasa
hata mimi nakuunga mkono tarehe 7 maana sipendagi ujingaaaBora tujipangie tarehe wenyewe tu assume kwamba ijumaa ya tarehe 7 mambo yatakuwa fresh, mm ndo hvo nasubiri hadi tarehe 7 mwezi ujao wala sina shida na mtu
Majina yakitoka mtanibp jamani
Daaaaa nimekukumbuka rubii jamani na comments zako zile zilikuwa zinachangamsha sana jukwaa la elimu , daaa noma sana
teh! asante mkuu vipi tcu bado wanapanga tu hayo majina?
Bado kidogo
hadi leokidogo hadi lini
Tufanyeje kama below3.5gpa na cc cjui tutapata mkopo tulikuwa tumejitoa fahamu tukatuma tu FM za mkopo lakini tukabaki kusubili irakavyokuwa ma Heslb nap wakaja na usemi kuwa hawakotayari kutoa mkopo kwa waombaji wapya .hatuelew kwa kweli irakuwajeBc Ilitakiwa Yawe Yameshatoka Maana Pia Kuna Baadhi Ya Vyuo tar 2/10 Wanaanza Masomo
Mama wa wizara yuko humu na anaona kila kinachoandikwa ila ni mara chache sana huibuka.Hivi mama wa wizara hana account JF??? Naamini angeona vijana wake wanavyolalamika angetoa maamuzi magumu
Kwa uvumilivu tuu, tunao, wangetuzingatia sis kabla ya form six kwani tuna process mpaka kwenda chuo, hatujaomba ruhusa za kwenda chuo wengine, tunasubiria admission bado ada ni shida, mkopo wenyewe haueleweki, ila mungu anawaona tuu.
Umeomba kusomea nini?Majina yakitoka mtanibp jamani
Ahsante mkuuUmeongea kwa hisia sana mkuu. Pole!