rafael mtuvenge
Member
- Nov 11, 2013
- 69
- 10
Yangu macho tu
Kama alishafuria asitegee kupata kick kwa mgongo wa Jide amefuria.
Nakelwa sana na wasanii uchwara kama hawa wa kudandiadandia vitu, hana tofauti na yule bwegge anayejifanya ni mdogo wake Diamond eti kaibiwa nyimbo na Diamond wakati Diamond ana nyimbo zaidi ya 100.
usikosolewe? Wewe umekuwa nani hasa? Kuhusu ushoga umesahau kuwa wewe ushasema wewe ni mmoja wao? Nikukumbushee?
dah mkuu una matatizo sana R na L eeh?!!
kufuria - kufulia
nakelwa - nakerwa
kiroho safi
Katafute bwana Facebook hapa hatupendelei matendo ya ushoga.
Fistura inatibika, wahi tiba wacha kudandia wanaume.