ukisoma historia ya miamba ilivyotambaa,miamba ya usagaran na ubena systems imekutana na kutengeneza mimba yenye kutoa chuma uf, makaa ya mawe na shaba ufi(cpper ore); kimsingi shaba ufi tanzania iliyo, nzuri inapatikana LUDEWA, MPANDA,TUNDURU,SUMBAWANGA , KARAGWE na SINGIDA.mkubwa nijuze na mimi,kumbe ludewa kuna shaba???