Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

Yafahamu magereza hatari zaidi duniani

Aaaaaah gereza la nansio, butundwe, na Tarime ni habari nyingine kabisaa.
 
Mkuu! Guantanamo haipo kwenye list. Au lenyewe hawatesi wafungwa?
 
Kwa bahati mbaya hawa wanaotoa haya mateso hawajui kwamba ikifika siku yao watalipa maovu yote waliyotenda.
 
hii list hapana mkuu yaani hakuna gereza hata moja la Mexico, Nigeria, India, congo, Burundi
 
Ngwala Tanzania...lipo mbuga ya wanyamapori Na Simba wanazungukia ngome.ni noma mfungwa anajichunga mwenyewe
 
Kuna gereza nchini Rwanda nimelisahau kwa jina, hilo nadhani ndyo gereza hatar kuliko yote Duniani,huwa inafikia mahali wafungwa wanawala wafungwa wenzao kama nyama au chakula kutokana na uhaba wa chakula!
Mkuu masihara hayo???
 
Mzee uliyonieleza ndio nimeyasoma
Nimeona ni genocide criminals.
Ni hatari ndugu.
Kwa bahati mbaya Kagame huwa anawaweka wabaya wake kwenye gereza hilo ili kuwashikisha adabu!
 
Back
Top Bottom