Yaaan ndoa imenishinda asee

Yaaan ndoa imenishinda asee

Ndio uyu ww unavoshangaa shangaa
1000098604.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinasema wadau

Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Sio haki hata kidogo.

Nenda kashitaki kwa waziri wa maendeleo ya wanawake kwamba unanyanyaswq kimapenzi. Hilo jambo sio la kuvumilia hata dka moja.
 
Back
Top Bottom