Kama ni Ujerumani amekalia kuti kavu.. Hawa jamaa kulikuwa na waziri wao mmoja, katika kazi yake ya PhD ali-quote kazi ya mtu akasahau kuiwekea bila kui-reference, jamaa walimlimisha kujiuzuru. Hawana mchezo kabisa hao jamaa kwenye mambo ya elimu.Mkuu,Dr.Mwakyembe amesomea Shahada yake ya Uzamivu katika Chuo Kikuu cha Hamburg,Ujerumani. Na si UDSM.