Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 6,289
- 10,963
Kuna kijitabia cha baadhi ya madada kinaboa sana! Utakuta umeanza mahusiano na binti ndo hamjamaliza hata miezi 3, inakuwa kila mnapokutana story zake zote ni kuhusu matatizo,shida,matatizo ya familia yao, mara aseme wazazi hawampendi, mara anafosi umwoe eti amechoka kuishi kwao!
Yaani kila siku full kulalamika kuhusu ukoo wao! Mbaya zaidi kila siku ana shida na pesa, yaani mkikutana tu hakuna jipya ni shida,matatizo,malalamiko!
Jamani madada mnakuwa mizigo sana, mambo ya ukoo wenu hayamuhusu boyfriend wako! ya Kaisari mpe Kaisari
Sent from my siemens c35 using Jamiiforums
Yaani kila siku full kulalamika kuhusu ukoo wao! Mbaya zaidi kila siku ana shida na pesa, yaani mkikutana tu hakuna jipya ni shida,matatizo,malalamiko!
Jamani madada mnakuwa mizigo sana, mambo ya ukoo wenu hayamuhusu boyfriend wako! ya Kaisari mpe Kaisari
Sent from my siemens c35 using Jamiiforums