Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,049
- 2,537
Mkuu sio ndoto za alinacha huo ndio ukweli wa kitakachotokea, kikubwa tuombe uzima na tuyashuhudie hayoEndelea kuota ndoto za alinacha.
Mkuu sio ndoto za alinacha huo ndio ukweli wa kitakachotokea, kikubwa tuombe uzima na tuyashuhudie hayoEndelea kuota ndoto za alinacha.
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Mkuu itapata wabunge kwa tume ipi? Kwann haikupata wabunge kwenye chaguzi ndogo za wabunge mf Kinondoni, Siha, Kakonko, n.k? Chadema inaweza isiwe na mbunge hata mmoja uchaguzi huu. Ndiyo maana kwa kuiona hatari hiyo wengi wanaunga juhudi.
Bado naamini cdm kupata mbunge au diwani hata mmoja watakua wamejitahidi sana. Chama kikuu cha upinzani kinaenda kua act wazalendo. Mungu tupe uhai na afya njema tukutane baada ya uchaguzi .
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
ACT na Membe kamwe hawawezi kukium CDM, hiki chama kimeenea mioyoni mwa watu.Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Heche ,Sugu ,Lema , Mbowe ,Mdee mtaweza kuwabia kura zao??
Mkuu itapata wabunge kwa tume ipi? Kwann haikupata wabunge kwenye chaguzi ndogo za wabunge mf Kinondoni, Siha, Kakonko, n.k? Chadema inaweza isiwe na mbunge hata mmoja uchaguzi huu. Ndiyo maana kwa kuiona hatari hiyo wengi wanaunga juhudi.
Mbona mnajishtukia?Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Hahahahaha mara tukitambua hali ya upinzani ulivyo, ndio tutaanza kutafuta dawa ya kudumu ya kuiondoa CCM madarakani. Tujizuie kuishi kwa kujifurahisha wakati hali yetu sasa hivi ni ngumu saaaana.Chadema inaenda kuchukua nchi. Amini maneno yangu. October serikali inaenda kuwa chini ya Chadema
Vipi 2015 hamkunusa au mlikuwa na mafuaTunajitambua kuliko unavyofikiri, chadema ina jua kunusa hatari pengine kuliko hata nyinyiem
LazimaHata YANGA leo walijua wangepata ushindi mzito sana lakini kilichowakuta kila mtu anajua, pia haitakuwa ajabu kwa kipigo kama hiki kuwashukia Chadema hapo October
Acha uongo wewe nyie mujizuie wenyewe halafu mlalamikue CCM.CDM ni chama cha kitaifa...hakiwezi Kifa kijinga..
Ukitaka kuhakikisha kauli yangu nenda Lumumba kawaulize.....
Unazuia chama cha siasa miaka 5 kisifanye siasa, bado unasita na kufikiri labda uzuie mikutano ya kampeni pia kwa sababu ya
Corona.. unaona aibu...
mziki ni mnene!!
Tulikuwa na mafua..lkn tulifaidi upande wa ruzukuVipi 2015 hamkunusa au mlikuwa na mafua
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Sijui labda wao maboss wanaaminianaHisia zangu hua Zina wasiwasi sana zito kumkazania membe kuja upinzani na pia kung'ang'ania kuungana cdm. Simuamini kbs