jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Yooote yaliyojiri na yatakayojiri katika siasa za Nchi hii mpango na lengo ni moja tu KUIUA CHADEMA.
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!
Na CHADEMA kama hawajalishtukia hilo basi ni uzembe wao.
...ya Membe na kina Zitto wake lengo ni....!