Mimi naona Mjengwa and all who are supporting him are beating about a bush. Tatizo mnalijua ila mnakataa kusema kuwa chuki dhidi ya Wakristo na ukristo haijaanza na uchomaji wa makanisa Zanzibar na juzi kule Mbagala. Limekuwepo na Waislamu wanaliendeleza kati na baina ya vizazi vyao hali mradi wapate pa kutua lawama za kuwa nyuma kielimu na kimaendeleo. Na ukitaka kuliona hilo ni jinsi Mwaislamu msomi na asiyewahi kuona kuta za madarasa wanavyo argue at par katika mambo yanayohusu wao kuwa nyuma kielimu. Niliwahi kumsikiliza wasomi wa kislamu wakichangia kuwa Waislamu wako nyuma kwa sababu hawapewi haki ya kujiunga na mashrika/taasisi za nje ili wapate misaada kama ilivyokuwa Wakristu. Mifano waliyoitoa kwa kweli inasikitisha sana maana inakuwa sio fair. Walipendekeza Tanzania ijitoe Commnwealth eti kwa sababu kiongozi wake ni yuleuyule ambaye ndiye mkuu wa Kanisa la Anglikana, wakataka Tanzania ifukuze ubalozi wa Vatican. Mwendesha kipindi aliwauliza je, Tanzania ifukuze tena mabalozi wa nchi ambazo zinajulikana zinaongozwa kidini kwa kutumia sharia the likes of Egypt, Pakistan, Iran, Iraq, Libya, Oman na nyinginezo. Hapo walikosa cha kujibu maana hawakuwa na point ya maana. Lakini walichokuwa wanasema wasomi hawa ndio hicho ambacho waisalmu wengi wamekuwa wanasema tena wale ambao hawana elimu na kile ambacho wasomi wanakisema. Hii inaonyesha kuwa kuna kasa watu wanalishwa na hiyo ndiyo inajenga chuki. Na viongozi wetu wanajua hivyo kuwa kuna sumu waisalmu wanalisha na kusababisha chuki katika jamii hizi ambazo zinaishi side by side lakini hawalikemei na wengine wanatuhumiwa kuwa ndio wachochaji.
Pili mihadhara ya kukashifiana imekuwa ni tatizo na ndio chanzo cha chuki hizi. Ilianza wakati wa awamu ya pili na ikatiliwa mbolea ikamea na kushamiri. Madhara yake ndio haya. Badala ya kuwafanya watu wakajua neno la Mungu imefanya dini kuwa ni chanzo cha mafarakano. Zimefuata radio na magazeti ya kidini. Yametia chumvi katika kidonda kibichi. Serikali zetu zimekuwa kimya. Kwa hiyo bw. Mjengwa pamoja maneno yako ya busara bado hutaki kusema nini chanzo cha uadui huu? Halafu tuambie na ujasiri wa mtoto alifunzwa na kukunzwa kwamba kitu hiki ni nyeti kama ilivyokuwa Kurani Tukufu, halafu mtoto huyu anayeheshimu sacred object anapeleka kitu hicho kuntishia mwingine kugeuka mjuzi. This is quite disgusting and hapo inabidi kama ndivyo wanavyofunsdishwa watoto wa Kiislamu basi iangaliwe kubadilisha mode of teaching ili content isiwe that much threatening maana kumbe anaona kitabu hicho halistahili heshima bali ni silaha ya kumtisha tena asiyekiamini. Mpeleka kitabu pamoja na yule aliyekikojelea wana makosa. Lakini aliyekikojelea hana makosa sana maana aliletewa kitu asichokiamni labda hajafundishwa kuwa ni kitakatifu. Hapa najua wengi watapinga lakini doctrines za Kikisto na Kiislamu ni tofauti
Pili mihadhara ya kukashifiana imekuwa ni tatizo na ndio chanzo cha chuki hizi. Ilianza wakati wa awamu ya pili na ikatiliwa mbolea ikamea na kushamiri. Madhara yake ndio haya. Badala ya kuwafanya watu wakajua neno la Mungu imefanya dini kuwa ni chanzo cha mafarakano. Zimefuata radio na magazeti ya kidini. Yametia chumvi katika kidonda kibichi. Serikali zetu zimekuwa kimya. Kwa hiyo bw. Mjengwa pamoja maneno yako ya busara bado hutaki kusema nini chanzo cha uadui huu? Halafu tuambie na ujasiri wa mtoto alifunzwa na kukunzwa kwamba kitu hiki ni nyeti kama ilivyokuwa Kurani Tukufu, halafu mtoto huyu anayeheshimu sacred object anapeleka kitu hicho kuntishia mwingine kugeuka mjuzi. This is quite disgusting and hapo inabidi kama ndivyo wanavyofunsdishwa watoto wa Kiislamu basi iangaliwe kubadilisha mode of teaching ili content isiwe that much threatening maana kumbe anaona kitabu hicho halistahili heshima bali ni silaha ya kumtisha tena asiyekiamini. Mpeleka kitabu pamoja na yule aliyekikojelea wana makosa. Lakini aliyekikojelea hana makosa sana maana aliletewa kitu asichokiamni labda hajafundishwa kuwa ni kitakatifu. Hapa najua wengi watapinga lakini doctrines za Kikisto na Kiislamu ni tofauti