Ya leo kali...

Mahunguchila

Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
74
Reaction score
34
Asubuhi asubuhi napita maeneo ya Kurasini kwenye uchochoro wa kelekea Uhamiaji.

Mbele baada ya ule uchochoro kuna fremu mbili tatu na pia kuna saloon ya kike.

Namuona mdada white amekaa lakini kwa mbali nagundua kuwa amekaa ndivyo sivyo.

Moyoni nikawaza ivi huyu amejisahau au!

Nikasema kimoyomoyo ngoja nimkaribie! Lahaulaaa! Mdada yupo uchi kabisaa! Amekaa kwenye kiti cha pepsi miguu kaitanua afu anajifanya busy anaongea na simu.

Nikamwambia dada umekaa vibaya (nikidhani labda amejisahau) hakunijibu akiwa busy kusikiliza simu (sijui kama kweli alikuwa anamsikiliza mtu).

Nikarudia tena dada kaa vizuri, akapiga kimya! Nikarudia tena na tena mwisho akaniambia 'we shida yako nini? Ebu sepa zako'. Kweli nikasepa huku nikiwaza kwa nini yule dada ameachukua uamuzi ule asubuhi asubuhi.

Ananjiuza?Anamtega mtu?Sharti la mganga?Anapunga upepo? au.....au.....! Kweli hii ya leo ni kali.
 
majanga watu wanambinu nyingi za kusaka mahelaaa
 
ha ha ha haaaaa!biashara matangazo kaka!vp Papuchi yake ina mvuto?
 
Utakuwa umefaidi kweli kuona live mbunye ya bure, hapo ndipo ninapoishangaa nguvu ya macho kwenye vitu kama hivyo
 
Mwenzio alikuwa kakimbia kitanda na kwenda nje kupunga upepo coz kitu kimekesha kinapigishwa jaramba we unaenda kumsumbua?? Hukuangalia vizuri kama kimevimba kwa shughuli ya usiku kucha??

Wakati mwingine uwe unachukua na kapicha ka ushahidi basi!!
 
siku nyingine uje na ushahid uliojitosheleza ungeweka picha kidogo ningeamin sio maneno matupu!
kaka kuwa great thinker bhana,,,,,,!!!
 
Mahunguchila UMEKOSEA KITU KIMOJA..HUKUCHUKUA PICHA YA KUMBUKUMBU...KUWA NAYO KWENYE ''ANSADI'' ZA JF NI MUHIMU!!
 
siku nyingine uje na ushahid uliojitosheleza ungeweka picha kidogo ningeamin sio maneno matupu!
kaka kuwa great thinker bhana,,,,,,!!!
Sio kaka mimi dada alaaa! Halafu hivi kweli ningempigaje picha mwanamke mwenzangu jamani? Amini usiamini ni kweli nimekutana na kisa hiki leo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…