Ya kufunga mwaka

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Mwalimu:Jinsi gani ya kufanya maji yawe masafi?
Mwanafunzi:unaenda kuyachukua mtoni halafu unayafua.
 
jana ukaleta thread iliyojaa ushalobalo nikategemea utajirekebisha leo tena umekuja na uhalo mwingine!!!!!! Inaonekana wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa la jokes au umenunua computer mpya unaifanyia test mana kila mtu akipost unajibu onsport as if huna kazi nyingine za kufanya! Soma na thread za wenzio sio unatoa mimacho kwenye post zako tu, mkatauharishia jana na nguruwe wenu ngoja nione leo mtatoka na gia gani! Usijisumbue kunijibu maana sina mda wa kupoteza kujibizana na teja!
 
jana ukaleta thread iliyojaa ushalobalo nikategemea utajirekebisha leo tena umekuja na uhalo mwingine!!!!!! Inaonekana wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa la jokes au umenunua computer mpya unaifanyia test mana kila mtu akipost unajibu onsport as if huna kazi nyingine za kufanya! Soma na thread za wenzio sio unatoa mimacho kwenye post zako tu, mkatauharishia jana na nguruwe wenu ngoja nione leo mtatoka na gia gani! Usijisumbue kunijibu maana sina mda wa kupoteza kujibizana na teja!
kijana tumia barua kuleta malalamiko yako
 
kwiikwiiikwiiii hahaaahahaaaaaahaaaa!!!! baada ya kupakwa vaseline na mganga au kabla hajapakwa ndo anakuwa mtabiri kwiikwiikwiiiiii
teh teh watu wanapenda vyeo,hutawaweza
 
Back
Top Bottom